Kushiriki chakula na familia: Ushauri kutoka kwa Teamo

Dada hebu angalia huu mchanganuo hapa chini kama nilivouainisha. Teamo ni muumini mzuri wa hii ratiba:
SASA HAPO PA KWENDA SHAMBA HAPO.........!tunaweza kupaedit....tusiende hiyo siku nyingine then twende jumapili baada ya ibada for some two hours,

use the day i have withdrawn myself KUPITIA PITIA HOMEWORK ZA MATESHA na kumfundisha kalikulas JANE na kushiriki nao lunch,then utaniambia
 
Hakuna cha panadol wala nini MABADILIKO YANAWEZEKANA.

Kwanini uishi kama mkimbizi kwenye nyumba yako mwenyewe??
umeona eeh!
LILYFLOWER KULA TANO

yani unaifanyeje nyumba kuwa NAMNANI/MWAROBAIN/KAPONGO.....?(you go in late night and go out very early)
 


The Following 15 Users Say Thank You to Teamo For This Useful Post:

Asprin (Today), Baba_Enock (Today), bacha (Today), Bigirita (Today), GY (Today), Kimey (Today), LD (Today), Lily Flower (Today), Mkeshahoi (Today), Pearl (Today), Pretty (Today), Smiles (Today), St. RR (Today), The Finest (Today), WiseLady (Today)

fuata matendo yetu usifuate maneno yetu
 
Katika wiki kuna siku saba tafuta siku moja icross out na weka reminder kwenye kilongalonga hakuna kwenda mahali zaidi ya nyumbani, at the same time tafuta alternative road ya kukuwezesha kufika nyumbani mapema usisingizie foleni.
Lili Flawa narudia tena: Soma hii ratiba ambayo Teamo ni muumini wake mkuu.


umeona eeh!
LILYFLOWER KULA TANO

yani unaifanyeje nyumba kuwa NAMNANI/MWAROBAIN/KAPONGO.....?(you go in late night and go out very early)
 
haha hahahha hahahaaa wapokea simu mdau mmoja anakusubr tegeta mwngne charambe
infii kgambon anakungoja....ukimaliza mizunguko sa 4 usiku...warud hom hoooooooooooooiiiiii
Umeonaeee!!!
huyo ni mtu mmoja...........nimpitie FL twende tegeta coz Asprin na Teamo wanatungoja, The Finest yupo town anasema nimngoje akapaki tukutuku ili twende na tukutuku moja, GY analazimisha twende extraordinary place kunywa bia mbili kwanza wakati tunamngoja TF, Dena Amsi anapiga cm anasema yupo Magomeni anakuja, anakaa masaa mawili hafiki..........Bacha naye anasema anakuja lakini hafiki.........safari ya tegeta inaahirishwa.
tunahamia JJ, eliza anasema hakuna the finest scotch whisky..........Teamo yupo njiani anakuja, tunampigia apite Mlimani city aje na kitu cha whisky.

NITARUDI.
 
HALAFU NI 24/7.....4weeks....52weeks

TOO BAD
 

Weupe nawapenda, lakini weusi ni dawa ya moyo........mama Bigirita....en'route to Dar.

KULA NA FAMILIA TUNAPENDA, LAKINI BIA BARAFU YA MOYO!
 
Weupe nawapenda, lakini weusi ni dawa ya moyo........mama Bigirita....en'route to Dar.

KULA NA FAMILIA TUNAPENDA, LAKINI BIA BARAFU YA MOYO!
hahahahaa! na mioyo yetu ni ya moto, tunapenda kupoza kwa barafu!
 
Weupe nawapenda, lakini weusi ni dawa ya moyo........mama Bigirita....en'route to Dar.

KULA NA FAMILIA TUNAPENDA, LAKINI BIA BARAFU YA MOYO!
HHAHAHAHAHA!
sasa biya zenyewe inatakiwa ziwe ZA BARIDI SANA au?

halaf hao wanaukunywa ''vischana''?
 
aisee we mutu, mwenye hiyo id akikukutaaaa
hahahahahahahah!
wee bana dah!

YESU NI BABAAA YANGU ASIYESHINDWAAA KAAAMWEEEE
NINA BABAAA YANGU ASIYESHINDWA KAAAMWEEEEEEE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…