hamza mahundu Member Joined Dec 20, 2018 Posts 58 Reaction score 116 Oct 6, 2023 #1 "Epuka Imani Potofu, Epuka Imani Potofu" Usimkatae mwanao pindi atakapo zaliwa na white stuff, Wengi wanafikiria kwamba hutokana na kamwagiwa ndani katika kipindi cha Ujauzito, Nikutoe hofu, Kitaalamu hujulikana kama "Vernix Caseosa" Ni hali ya kawaida na hutokea kwa wanawake wachache sana, NB: Hakuna uhusiano katika ya white stuff kwa mtoto na tendo, Kumbuka kushiriki tendo kipindi cha uzazi hakuna madhara yeyote...✍
"Epuka Imani Potofu, Epuka Imani Potofu" Usimkatae mwanao pindi atakapo zaliwa na white stuff, Wengi wanafikiria kwamba hutokana na kamwagiwa ndani katika kipindi cha Ujauzito, Nikutoe hofu, Kitaalamu hujulikana kama "Vernix Caseosa" Ni hali ya kawaida na hutokea kwa wanawake wachache sana, NB: Hakuna uhusiano katika ya white stuff kwa mtoto na tendo, Kumbuka kushiriki tendo kipindi cha uzazi hakuna madhara yeyote...✍
Amehlo JF-Expert Member Joined May 8, 2019 Posts 10,104 Reaction score 29,178 Oct 6, 2023 #2 wanakuja
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 9,679 Reaction score 39,087 Oct 6, 2023 #3 Heee kuna watu wanawakataa watoto wao kwa sababu hiyo?