Huyu Lege nimemuelewa sana na kw jinsi alivyo eleza na kwa utaalamu wangu ingawa sijafanya experement naamini itawaka kifupi mi mtu wa IT Nikiaangalia logic z lege gari itawaka kwa logic na wanao sema gar haiwaki wanashidwa toa sababu kwanini haitawaka . Then lege ndio ameanza hapo sabab znaz fanya isiwake .kumbuka hata gari manual haiwaki kwa kushitua mpk ufanye ma utundu kidogo ya kuweka gia kusukuma ndio inawaka na kwa automatic ina utunndu wake ambao ndio mtaalam kaueleza logic ni possible kuwaka . na sababu ni kwamba je ikitokea mazingiea ya porini mko nyikani 200 km kutoka sehemu yenye huduma gari imekatAA KUWASA SABABU BATTERY mfano mlipaki then battery imenyonya haina nguvu za kutosha mko wanaume 5 mfanyaje ili iweze kuwAka na ni Auto