Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini kifanyike? Lawama pekee haitoshi. Changia lau kidogo kuliko kujaza lawama kapu.
Tunalilia mifumo, viongozi na kila siku ngonjera ni hizihizi......nani wa kufanya km watendaji hawataki kusimia? Leo hii nikiuliza ni nini tafsiri halisi ya neno ELIMU BORA utajibu nini? Je, wewe binafsi umepata elimu bora?
mitaala ibadilishwe, mifumo ya mitihani iwe ile ya kujieleza zaidi, ufaulu yaani maksi zipandishwe mpaka 80%, uteuzi uwe wa haki na kweli, walimu pia waboreshwe na tuheshimu na kusaidia watoto wenye vipaji.
Father mbona umekuwa mkali leo.
Taifa linawataalamu wengi
Taifa linaraslimali za kutosha
Taifa lina watu wakutosha
Kinachokosekana ni usimamizi mzuri wa raslimali zetu kuka kwa wanasiasa, tuliowapa jukumu la kukaa, kupanga, kukusanya, kuzigawa na kuzisimamia raslimali hizi wamepoteza kumbukumbu na vichwa vyao vimeishiwa ubunifu.
Hatakama tutatoa mapendekezo je serikali itayasikiliza maana hata wataalamu hawafui dafu mbele ya ccm? mbona kila siku bungeni wanaacha mambo ya msingi kujadili wanajadili simple issues.
Tatizo ni serikali mbovu kuwa naviongozi wabovu walokalia kuiba wala hawatambui vipaumbele katika taifa lolote ni Elimu, afya na manufacturing.
kama serikali na chama tawala wamelala sisi raia tufanyaJe? maana ya Misri na Tunisia hatuyawezi japokuwa hayawi hayawi mwishowe hutoke.
na tusichukue waliofeli kwenda ualimu!
Hili umenena vema hasa.