Nimefanya utafiti mdogo wa wamashabiki wa vita na migogoro ulimwenguni nikagundua kushuka kwa morari Kwa pro Rashia na Iran,anguko kubwa lilitokea baada ya westi kuichukua Syria mikononi mwa miungu Yao Rasia na Iran,Pro Rasia na Iran wamebaki wanatetemeka hawajui hatma ya timu zao,baadhi akili zimeanza kukaa saw na kuanza kugundua uwezo mdogo wa kijeshi walio nao miungu Yao
Rasis amekaa anatafakali lakufanya na mabase yake nchini Syria anabaki anachanganyikiwa maana ianonekan waasai wanaelekea west,na yeye mkononi amebaki na mkataba wa kuendesha bandari ya Syria kwa miaka 49 aliyopewa na chawa wake Assad,Je ataendelea kuindesha badari huku akiwalipa westi ushuru? Kichwa kinamiwanga😥🤣🤣
Rasis amekaa anatafakali lakufanya na mabase yake nchini Syria anabaki anachanganyikiwa maana ianonekan waasai wanaelekea west,na yeye mkononi amebaki na mkataba wa kuendesha bandari ya Syria kwa miaka 49 aliyopewa na chawa wake Assad,Je ataendelea kuindesha badari huku akiwalipa westi ushuru? Kichwa kinamiwanga😥🤣🤣