Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
West Africa Sasa hv wanatawaliwa na wanajeshi wasiotaka kukosolewa hivyo kila anayewakosoa kurudisha utawala WA raia ni adui yao hao ni madikteta na Putini ni mwenzao lkn hata hivyo magaidi yakiisilamu huko ndo kwanza yanaongezeka Rasia hayawezi yale dawa Yao ni west tuHivi mmekunywa changaa ni pombe moja hivi inapatikana Kenya ukinywa lazima unye. Iran kisha sema Syria kuangukia kwa waasi hakutavuruga harakati zake anachotaka kufanya Syria pasikalike kwa kuamsha wazawa wapiganie kuna wanajeshi wenye moyo safi wa Syria waliokimbilia Iraq zaidi ya laki 7, hao pamoja na vijana wengine wa Syria kutawaka tu ni suala la muda na pesa. Iran wanaisubiri kete ya Trump January ili wajue wanaanzia wapi Putin ndio hamumuwezi kabisa kila siku France anafungashwa virago Afrika
Hii unasema wewe gaidi ukiwa nyuma ya kiboard,ila wenzio wamesha pakimbia hapo syria na hakuna mahali lran imesema inataka kuvuruga amani hapo syria. Kama unauchungu sana nenda wewe kavuruge pale kuliko kutujambia jambia humu.Hivi mmekunywa changaa ni pombe moja hivi inapatikana Kenya ukinywa lazima unye. Iran kisha sema Syria kuangukia kwa waasi hakutavuruga harakati zake anachotaka kufanya Syria pasikalike kwa kuamsha wazawa wapiganie kuna wanajeshi wenye moyo safi wa Syria waliokimbilia Iraq zaidi ya laki 7, hao pamoja na vijana wengine wa Syria kutawaka tu ni suala la muda na pesa. Iran wanaisubiri kete ya Trump January ili wajue wanaanzia wapi Putin ndio hamumuwezi kabisa kila siku France anafungashwa virago Afrika
Mavaa kobazi hayanaga akili ata usemeje mwenyewe hayanaga akili kabisaWewe ndondocha wenzio wamejificha wasionekane kabisa wewe umebinua matako yako juu uku kichwa umekichimbia kwenye mchanga unataka kuwa choma wenzio nini uko walipojificha?
😂😂🙏🙏Mavaa kobazi hayanaga akili ata usemeje mwenyewe hayanaga akili kabisa
Sikiliza speech ya Ayatollah ya mwisho juzi tu Apa kuna maneno kayatoa utaelewa anamanisha nn tena inaweza kufika hadi Jordan nyie si mnabwabwaja tu humu kwani Israel ni mjinga kuharibu silaha zilizopo Syria? Ila nyinyi humu ndio mnajua sana etiHii unasema wewe gaidi ukiwa nyuma ya kiboard,ila wenzio wamesha pakimbia hapo syria na hakuna mahali lran imesema inataka kuvuruga amani hapo syria. Kama unauchungu sana nenda wewe kavuruge pale kuliko kutujambia jambia humu.