Kushuka kwa thamani ya Tshs dhidi ya USD tatizo ni nini?

Kushuka kwa thamani ya Tshs dhidi ya USD tatizo ni nini?

Hakuna kumumumunya maneno
Ni alipoingia yule shetani 2016, ndio kuruka kwa thamani kuliongezeka maradufu kutokana na siasa zake za kishamba na ulkilaza wa uchumi

1711062275088.png
 
Uchumi wa fremu, Frameconomics.

Kilakitu tunaagiza (imports), tunavyouza nje (exports) ni vichache mno. Na nchi inapokea hela za kigeni chache mno.


Hapo ngoja chawa waje kusifia tu. Na yule mtaalam wa uchumi akishavaa tai ya bendera, ashushe nondo za uchumi kiwango cha PHD.
 
Tatizo kushukq tabu sanaa kuliko kupanda.
 
Wakenya ni wasomi wa siku nyingi wanajua kucheza na dola. They know a lot about import and export. They export more so as to get more dollars.
 
Sehemu nzuri na ya kuaminika ya kupata dollar kwenye black market ni wapi has mkuu, asante ?
Upo sehemu gn

Itakua na faida sana endapo utakua na note za $100 au 50 pia mzigo uwe mkubwa kidogo
 
Back
Top Bottom