Kusikiliza nyimbo za injili(dini) wakati 'mnangonoka' kwa wanandoa na 'mnazini' kwa wasiooana ni jambo jema?

Kusikiliza nyimbo za injili(dini) wakati 'mnangonoka' kwa wanandoa na 'mnazini' kwa wasiooana ni jambo jema?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Tena kuna wakati unasikia kabisa mtu anakandamizwa(anangonolewa) vilivyo na sauti ya kuulilia mkurudungu wa aliye kifuani kwake ukiisikia dirishani, ila hapo hapo tena unasikia playlists za gospel songs tupu zinaimba.

Kwa mnaojua mna imani hii ni sawa?
 
Tena kuna wakati unasikia kabisa mtu anakandamizwa(anangonolewa) vilivyo na sauti ya kuulilia mkurudungu wa aliye kifuani kwake ukiisikia dirishani, ila hapo hapo tena unasikia playlists za gospel songs tupu zinaimba.

Kwa mnaojua mna imani hii ni sawa?
sweetheart, tendo la ndoa lipo kwa ajili ya wanandoa tu, na ni tendo la baraka na la kumfurahisha Mungu.

Uzinzi ni mpango wa shetani, mkiwa mnazini huku mnasikiliza nyimbo za injili na mgandane muaibishwe hadharani
 
sweetheart, tendo la ndoa lipo kwa ajili ya wanandoa tu, na ni tendo la baraka na la kumfurahisha Mungu.

Uzinzi ni mpango wa shetani, mkiwa mnazini huku mnasikiliza nyimbo za injili na mgandane muaibishwe hadharani
Kuhusu Mungu kufurahi....

Doh!

Nna mashaka , linafanywa vibaya vibaya
 
Back
Top Bottom