Kusimama na Catherine Ruge ni Wajibu

Kusimama na Catherine Ruge ni Wajibu

Huyu Catherine Ruge anaonekana ni Kamanda kweli kweli. Anaonekana siyo mtu wa kucheka na kima.
Huyu Shangazi amepigwa, akaumizwa mpaka kulazwa na anatibiwa mpaka leo. Shangazi Fatma ofisi yake ilipigwa bomu bila majibu, kaondolewa kwenye kampuni aliyoianzisha, kafungiwa leseni inayompa kula na bado wamesimama. Kuna uzi humu niliona wanaume wazima, tena wenye magari na wasomi, mmoja hakosekani kwenye nyuzi za diamond kumpambania, wakilia lia kwamba hawawaoni akina shangazi wakiwapigania tena. Vilio hivyo vilitokana na kupanda Kwa bei ya mafuta ya gari.

Ukifikiria mtu kama huyu, pengine ana watoto wanamuita Baba, utavionea huruma vizazi vijavyo.
 
Acha kutetea uhuni mtu mjomba wake alikuwa na rekodi ya uhalifu ya muda mrefu sana ,matukio ya ukabaji na uporaji kafanya sana na hata amewahi kufungwa miaka 30 jela kwa uhalifu wa kutumia silaha ila Leo BAVICHA na BAWACHA mnamtetea hivi mna nini na hii nchi?

BAWACHA acheni makasiriko waambieni wajomba zenu uhalifu wa kutumia wakafanyie Congo
Wacha upumbavu wewe,kwa hiyo hao wamwela walikuwa wanatembea na hukumu ya kumpiga risasi huyo mshukiwa? Kwa sababu waliondoka naye akiwa mzima kabisa.
 
Wacha upumbavu wewe,kwa hiyo hao wamwela walikuwa wanatembea na hukumu ya kumpiga risasi huyo mshukiwa? Kwa sababu waliondoka naye akiwa mzima kabisa.
Narudia tena na ninakazia siku nikiwa Rais wa nchi hii wezi na majambazi hawatasau jina langu maana watapata show hawajapata kuona
 
Huyu Shangazi amepigwa, akaumizwa mpaka kulazwa na anatibiwa mpaka leo. Shangazi Fatma ofisi yake ilipigwa bomu bila majibu, kaondolewa kwenye kampuni aliyoianzisha, kafungiwa leseni inayompa kula na bado wamesimama. Kuna uzi humu niliona wanaume wazima, tena wenye magari na wasomi, mmoja hakosekani kwenye nyuzi za diamond kumpambania, wakilia lia kwamba hawawaoni akina shangazi wakiwapigania tena. Vilio hivyo vilitokana na kupanda Kwa bei ya mafuta ya gari.

Ukifikiria mtu kama huyu, pengine ana watoto wanamuita Baba, utavionea huruma vizazi vijavyo.

Kuna mambo yanasikitisha sana.

Hatukupaswa kuwatelekeza mashangazi hawa hivi, katika nyakati zao za kutuhitaji kama hizi.

Nawaelewa wenye maoni hasi kumhusu mama Tanzania. Mama TZ ni nani kulinganisha na mpambanaji Catherine Ruge?

Full force tunaweza kusimama na Catherine Ruge kwa vitendo na meza ikapinduka.
 
WaTozonia wakila wakishiba, wakisex na wakifungua tiktok na Instagram wamemaliza, Idea ya human right kwao iko very limited and selfishly implemented.

1. Kuna dhulma kama Jecha kuamua tu kufuta uchaguzi bila jambo la msingi?
2. Binti Akwilina kuna majibu yaliotolewa ya maana ?
3. Kuna alietoa majibu kupigwa lisasi kwa Lisu?
4. Kuna uhuni wa wazi kama kuuwawa kwa mfanyabiashara Hamis kule mtwara kwa tamaa za Askari na mpaka sasa hakuna muelekeo wa maana?
5. Unakumbuka waliofia mahabusu Mwanza ?

Tanzania iache tu, waambie wazike basi waendelee na maisha, wataingia gharama za kutunza mwili lakini hakuna cha maana kitaoatikana
Ni muendelezo wa matendo yanayovunja sheria toka kwa jeshi la polisi, na hii yote inasababishwa na kukosekana consistence kwenye madai yetu, hasa kuhusu haki.

Matukio kama haya yanapotokea, huwa hatuhakikishi mwisho wake umejulikana, ili kama watuhumiwa wakikutwa na hatia wapelekwe mahakamani, mfano Akwilina na mauaji kule Mtwara.

Huu ukimya wetu ndio unasababisha polisi waendeleze hii tabia yao, msukumo toka kwa raia kuhusu haki huwa kuna wakati unayeyuka mithili ya barafu kwenye jua kali, na hili jukumu sio la wanasiasa peke yao, ni letu sote, kila mmoja kwa nafasi yake popote alipo, ahakikishe analaani huu ukatili kwa namna yake.
 
Ni muendelezo wa matendo yanayovunja sheria toka kwa jeshi la polisi, na hii yote inasababishwa na kukosekana consistence kwenye madai yetu, hasa kuhusu haki.

Matukio kama haya yanapotokea, huwa hatuhakikishi mwisho wake umejulikana, ili kama watuhumiwa wakikutwa na hatia wapelekwe mahakamani, mfano Akwilina na mauaji kule Mtwara.

Huu ukimya wetu ndio unasababisha polisi waendeleze hii tabia yao, msukumo toka kwa raia kuhusu haki huwa kuna wakati unayeyuka mithili ya barafu kwenye jua kali, na hili jukumu sio la wanasiasa peke yao, ni letu sote, kila mmoja kwa nafasi yake popote alipo, ahakikishe analaani huu ukatili kwa namna yake.

Kupiga kelele sawa. Kila mmoja? Ndiyo. Lakini cha kujiuliza vyama vya siasa viko wapi?

Vyama vya Siasa havijui au vimesahau wajibu wao?
 
Kupiga kelele sawa. Kila mmoja? Ndiyo. Lakini cha kujiuliza vyama vya siasa viko wapi?

Vyama vya Siasa havijui au vimesahau wajibu wao?
Hawa tuungane nao, tusiwaache peke yao, tabia ya kuwaacha peke yao ndio hutufanya tuanze kulalamika pale wanapoonekana kukaa kimya, kumbe kama tungejijengea mazoea ya mapambano ndani yetu, wao wakikaa kimya, sisi naturally tungeendelea na mapambano tu.
 
Polisi ni genge la kihalifu lililoundwa na Serikali na kubarikiwa na wananchi👇


 
Unasimamaje na kahaba? Yule amechoka a anatafuta Kiki akijaribu kuwalinda wahalifu apate umaarufu. Anashirikiana ns wezi, anafaifika na uwizi w mjombake. Naye akamatwe atoe ushirikiano. RPC wa Mara mdebweto kweli arudishwe makao makuu
Bila kuathiri mchango wako, kwanini umemuita huyu Dada "kahaba"?
 
Hakuna Mwanadamu yoyote aliyeruhusiwa KUUA - kufanya hivyo ni kumkosea Mungu. Na ndiyo maana kuna sheria na Mahakama kama mmoja wetu amekengeuka.

Police hili kwenu ni doa jipya jekundu !! Mtuhumiwa Jambazi sugu uliyemkamata kumwekea mazingira ya kukimbia then unamtwaga risasi... hapa pana maswali mengi kuliko majibu.
 
Hawa ndiyo makamanda wachache wenye uthubutu (balls) waliobakia.

Hawa ndiyo wale wenye kutambua kufungwa au kifo hakuwezi kuwa kitisho.

Catherine Ruge hapiganii familia yake pekee. Catherine Ruge anapambana na police brutality. Anapambana na extra judicial killings.

Nani yuko salama?

Kukaa kimya ni usaliti daraja ya juu.
Nakazia nakazia.
Tupinge uhuni wa mauaji ya kukusudia.
 
Back
Top Bottom