Uchaguzi 2020 Kusipokuwa na uchaguzi wa kuchagua Rais kuna haja ya kufanya uchaguzi?

Uchaguzi 2020 Kusipokuwa na uchaguzi wa kuchagua Rais kuna haja ya kufanya uchaguzi?

Sasa kama Dr Magufuli atashindanishwa na mchungaji Msigwa wa Chadema hiyo ni sawa na kupita bila kupingwa.....kwanini tuwapangishe watu foleni ya kupiga kura?

Uchaguzi wa wabunge lazima uwepo kwa sababu hata wabunge wa CCM wengi hawajafanya vizuri majimboni!
Bwashee leo umekula nini?

Enzi ya mfumo wa chama kimoja cha siasa bado watu walipiga foleni kuchagua kati ya Nyerere na kivuli. Kwenye picha ya Nyerere paliandikwa NDIYO na Kivuli HAPANA. Kwa wenye akili zao walijua tu Nyerere amepita bila kupingwa. Lakini bado raia walitumia haki yao ya kupiga kura na kuchagua kati ya kivuli na Nyerere.

Kwa hiyo hata Msigwa akisimama na Magu, bado raia wana haki yao ya kupiga kura kuchagua kati ya hao wawili nani wanamtaka awe raisi wao. Hiyo ndiyo domokrasia bwashee.
 
Kiufupi upinzani wa Tanzania Ni hatari kwenye usalama wa taifa letu, kwa hiyo Ni haki kuwadhibiti kwa namna yoyote wasiwe na madaraka.
 
Upinzani wa nchi yetu bado sana hawajatengeneza system imara ya kiutawala ambayo itafaa kuongoza nchi...hivyo namuona JPM akirudi tena ikulu kwa mara ya pili...
"System" ya kutawala nchi inatengenezwa na vyama vya siasa. Kivipi??
 
Mchungaji Msigwa kihesa pamemshinda ndio apewe nchi..... Tusiwachoshe wapiga kura jamani!
Mchungaji gani muongo? Anasema yupo karantini Dodoma kumbe yupo Dar. Anasema Kinana jangili alafu anasema alikuwa anamsingizia. Huyu hata ubunge hafai tena.
 
Mwenzio jiwe alimlipia faini Mh Msigwa
Sasa kama Dr Magufuli atashindanishwa na mchungaji Msigwa wa Chadema hiyo ni sawa na kupita bila kupingwa.....kwanini tuwapangishe watu foleni ya kupiga kura?

Uchaguzi wa wabunge lazima uwepo kwa sababu hata wabunge wa CCM wengi hawajafanya vizuri majimboni!
Mwenzio jiwe anamheshimu na Msigwa ana uraia Wa chato wewe JOHN BURE hata Getini kwa huyo ASAS wako huwezi kaa
 
Hakuna mtu aliwahi kufikiri hata siku moja kuwa Tanzania itakuja kuwa na rais wa kiimla!
 
Rudi kwenye hoja. Iwe Kihesa au Mshindo hoja hapa ni mantiki gani mnatumia kutaka Magufuli asipingwe!!??
Kumpiga au kutompinga Magufuli ni maneno ya wafuasi wake ni Kama wafuasi wa Mbowe wasivyotaka na wote Wana sababu zao lakini hakuna kauli yoyote ya kimamlaka inliyotolewa kutoka msemaji wa serikali ikisema Magufuli asipingwe. Haya maneno yanasambazwa na watu Kama wewe uliyeleta hii thread hapa. Nikuulize umewahi msikia Mbowe au Magufuli wakisema hawataki kupingwa? Ni wewe ndo unayesema na mashabiki wao Wana comment wanavyofikiri na hawawashirikishi hao viongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao "wananchi" wanaamua kupitia utaratibu upi? Na kuna tofauti gani kati ya wananchi na vyama vya siasa maana naona kama umetenganisha. Jee CHADEMA siyo chama cha siasa na hakina wananch ndani mwake?
Uchaguzi upo pale pale na Magufuli alishasema. Sasa nyie chadema mnasikilza mitandaoni? Wekeni mgombea kwani Nani kawakataza? Au tangazo la mnyika lilikua la Nini? Hamjiamini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchungaji Msigwa kihesa pamemshinda ndio apewe nchi..... Tusiwachoshe wapiga kura jamani!
Kati ya watu ambao Nazi imeliwa na mwezi mwaka huu ni wewe. Tangu mwaka uanze penati unapigia ugoko. Ni wewe uliyeleta thread mbili kuhusu ubora wa Msigwa, Leo unafanya U-turn eti Kihesa pamemshinda, Kongwa pefanyika nini, Namanyere Nkasi kuna nini? Kisesa Magu kumefsnyika nini? Pale Igawilo Tabora kunani?
 
Kwanza kipimo cha "Kufanya vizuri" kwa Magufuli anacho nani. Lakini pia hata kama Mchungaji Msigwa atapata kura mbili, haki ya hao watu wawili wanaotaka kumpigia Msigwa kura inaondolewa kwa misingi ipi?

Tuwaze huku tukitanguliza mbele mantiki na kuweka pembeni utashi wetu unaoendekeza mapenzi ya kijinga kwa siasa za nchi yetu.
Kura halali na haki ni kigezo muhimu cha kupima kazi Nzuri aliyoifanya kiongozi. Naunga mkono hoja yako.
 
Sasa kama Dr Magufuli atashindanishwa na mchungaji Msigwa wa Chadema hiyo ni sawa na kupita bila kupingwa.....kwanini tuwapangishe watu foleni ya kupiga kura?

Uchaguzi wa wabunge lazima uwepo kwa sababu hata wabunge wa CCM wengi hawajafanya vizuri majimboni!
Kuna mtu hapo unamuogopa kumtaja, huyo mtambo wa atomic, ccm mpaka sasa wameshakaa vikao visipopungua 1000 tangu ametangaza nia ya kugombea, siku ile ametangaza tu nia wakaibuka na kesi ya mwaka 2016 hii inaonesha ni kwa kiasi gani wamepagawa. Hawana mwanasiasa wao wana field marshal.
 
Back
Top Bottom