Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wanalazimishwa waende walikokataliwaNdugu na jamaa wanaotarajiwa kufanya safari ya kuja Zanzibar au kwenda Bara mnapaswa kufanya safari zenu mapema kabla ya wiki ijayo ya tarehe 28.
Mkumbuke siku hiyo hakutakuwa na chombo kitakachobeba raia kutoka sehemu tajwa hapo juu.
HH
Ni upuuzi wa serekali ya udikteta uchwara!Duh... kumbe siku ya uchaguzi hata kusafiri ni kosa?[emoji848]
Ni jambo jema!Ndugu na jamaa wanaotarajiwa kufanya safari ya kuja Zanzibar au kwenda Bara mnapaswa kufanya safari zenu mapema kabla ya wiki ijayo ya tarehe 28.
Mkumbuke siku hiyo hakutakuwa na chombo kitakachobeba raia kutoka sehemu tajwa hapo juu.
Dikteta atakuwa ameagizaNi upuuzi wa serekali ya udikteta uchwara!
Balaa kabisaKuna watu wanalazimishwa waende walikokataliwa
Soma vzurDuh... kumbe siku ya uchaguzi hata kusafiri ni kosa?[emoji848]
Naona Jinsi Wazanzibari watakavyoondoka kuja huku BARA.Maana kikinuka kule hatoki MTU.Natabairi kwamba tunaweza kujikuta tuan worst crisis in zanzibar katika uchaguzi huu.Ndugu na jamaa wanaotarajiwa kufanya safari ya kuja Zanzibar au kwenda Bara mnapaswa kufanya safari zenu mapema kabla ya wiki ijayo ya tarehe 28.
Mkumbuke siku hiyo hakutakuwa na chombo kitakachobeba raia kutoka sehemu tajwa hapo juu.
Usisahau TL weka tiki hapo mkuu na mbunge na diwaniSumatra nao sijui watakuja na tamko gani manake hapa niko safari naingia Moshi town kukandamiza pale nilikojiandikishia alafu najeuza kurejea Dar
Hata majahazi na ngalawa huwa wanatumia, 2010 wengi walifika mombasa kama wakimbizi unadhani ilikuwa ni njia gani iliyowafikisha?Naona Jinsi Wazanzibari watakavyoondoka kuja huku BARA.Maana kikinuka kule hatoki MTU.Natabairi kwamba tunaweza kujikuta tuan worst crisis in zanzibar katika uchaguzi hhuu.
Hilo halina mjadala mkuu wangu. Yeyote mwenye logo ya chadema mie natwanga paleUsisahau TL weka tiki hapo mkuu na mbunge na diwani