Uchaguzi 2020 Kusitishwa kwa usafiri wa boti Zanzibar na Bara siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 28

Uchaguzi 2020 Kusitishwa kwa usafiri wa boti Zanzibar na Bara siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 28

Ni jambo jema! Itaepusha malalamiko kwa watakaoshindwa na kutoa visingizio kwamba watu wamepiga kura mara mbili (bara na visiwani).
 
Sumatra nao sijui watakuja na tamko gani manake hapa niko safari naingia Moshi town kukandamiza pale nilikojiandikishia alafu najeuza kurejea Dar
Usisahau kushuka mpaka mwisho wa karatasi.
 
Ndugu na jamaa wanaotarajiwa kufanya safari ya kuja Zanzibar au kwenda Bara mnapaswa kufanya safari zenu mapema kabla ya wiki ijayo ya tarehe 28.

Mkumbuke siku hiyo hakutakuwa na chombo kitakachobeba raia kutoka sehemu tajwa hapo juu.



Hiyo siku ya uchaguzi hata internet watakata.
 
Wazuie pia anga na bandari bubu zote.

Siyo wanaohamasisha fujo huko halafu kikinuka wanakimbilia Dar kufanya press!
 
Usisahau kushuka mpaka mwisho wa karatasi.
[/QUO
TE]

Hahha ndo niko kijijini hapa migombani natoa elimu ya mpiga kura naona somo wanalielewa vizuri na naelekeza ukiona logo ya chadema wewe kandamiza hapo hapa kuanzia diwani hadi kwa Rais Lissu
 
Hiyo siku ya uchaguzi hata internet watakata.
Wanaweza wasikate ila kukawa na traffic ya kutosha, imean speed itapunguzwa sana kuwafanya watu wasifanikiwe kuchukua wanachotaka mtandaoni.
 
Wanaweza wasikate ila kukawa na traffic ya kutosha, imean speed itapunguzwa sana kuwafanya watu wasifanikiwe kuchukua wanachotaka mtandaoni.
Ndo mpango wao, hapo suluhisho ni Nini mkuu?
 
Ndo mpango wao, hapo suluhisho ni Nini mkuu?
Kama ni mjanja au uko na vijana watundu waambie wakuunganishe na sever za nje ya nchi, hawatakupata as VPN
 
Maalim seif alitaka achukue vibaraka wake bara ili wakampigie kura ee?
 
Back
Top Bottom