JOYOPAPASI
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 250
- 409
Mechi ya yanga na azam ilisogezwa mbele - ikatolewa sababu.
Mechi ya biashara na yanga ilisogezwa mbele - ikatolewa sababu.
Mechi ya simba na yanga imesogezwa mbele - haijatolewa sababu ( why.!!)? @tanfootball
Nchi nzima hatujui sababu zaidi ya waziri wa michezo tu- @innobash
(1/3).Siye @yanga1935 hatujawahi bebwa na hatubebwi tulijiandaa kushinda mechi, sasa mauganga ya @simbasctanzania ya ghafla ya nini.
Asanteni Viongozi wa @Yanga1935 ,Asante Sana Rafiki yangu wa Zama Zoote Eng. #herissaid na #GSM kwa Maandalizi Ya Ushindi Mnono-#TungeshindaMno.
Mechi ya biashara na yanga ilisogezwa mbele - ikatolewa sababu.
Mechi ya simba na yanga imesogezwa mbele - haijatolewa sababu ( why.!!)? @tanfootball
Nchi nzima hatujui sababu zaidi ya waziri wa michezo tu- @innobash
(1/3).Siye @yanga1935 hatujawahi bebwa na hatubebwi tulijiandaa kushinda mechi, sasa mauganga ya @simbasctanzania ya ghafla ya nini.
Asanteni Viongozi wa @Yanga1935 ,Asante Sana Rafiki yangu wa Zama Zoote Eng. #herissaid na #GSM kwa Maandalizi Ya Ushindi Mnono-#TungeshindaMno.