Kusoma Masters ya Sheria Chuo Kikuu Huria (OUT), Je, GPA inapatikana?

Kusoma Masters ya Sheria Chuo Kikuu Huria (OUT), Je, GPA inapatikana?

EEM M

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2022
Posts
459
Reaction score
937
Habari za muda ndugu zangu.

Binafsi nimewiwa sana kujiendeleza kwa kusoma Masters katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (Open University) kwani mbali na ubora wa elimu inayopatikana napo na kukifanya kiwe Chuo Kikuu cha pili Tanzania kwa ubora nimeamua kupapendekeza hapo kama chaguo langu la kwanza kulingana na ratiba yangu ya kazini na mambo mengine.

Ningependa kupata experience kwa mtu ambaye alishawahi kusoma hapo OUT hasa kwa level ya Masters. Sina shaka na utaratibu wa kusoma kwani naamini naweza kupambana na kusoma na ku-researchmwenyewe under minimum supervision.

Naomba kufahamu kuhusu mitihani yao, Usahihishaji na GPA zao ZINAPATIKANA??

Nasema haya nikiwa nafaham kuwa GPA inatokana na uwezo wa mtu binafsi, lakini pia hii haifuti ukweli kuwa kuna baadhi ya vyuo ni vigumu sana kupata GPA.

Je, Kwa Masters pale OUT GPA ya 4.0 and above INAPATIKANA??

Wenye experience mawazo yenu ni muhimu hapa.

Karibu kwa Ushauri wenu.
 
GPA kubwa ni Jitihada zako mkuu, haitolewi kwa kila mtu kama karanga

Ila kama ulivyosema OUT ni kweli ni Chuo Kikuu bora.
 
GPA kubwa ni Jitihada zako mkuu, haitolewi kwa kila mtu kama karanga

Ila kama ulivyosema OUT ni kweli ni Chuo Kikuu bora.
Mkuu sio kila Chuo unaweza kukomaa na ukapata GPA. Vingine ata ukomae vp utaishia 3.2 🙂

Kuna vyuo by it's nature ni vigum ata upambane vp. Ndo nataka kujua experience katika waliowah au wanaosoma OUT
 
Mkuu sio kila Chuo unaweza kukomaa na ukapata GPA. Vingine ata ukomae vp utaishia 3.2 🙂

Kuna vyuo by it's nature ni vigum ata upambane vp. Ndo nataka kujua experience katika waliowah au wanaosoma OUT
Actualy si vigumu, ni wewe thinking capacity haifikii viwango. kwenye hivyo vyuo vigumu wapo wanaotoboa na mpaka first class GPA? Wanasomaje?
 
Mkuu sio kila Chuo unaweza kukomaa na ukapata GPA. Vingine ata ukomae vp utaishia 3.2 🙂

Kuna vyuo by it's nature ni vigum ata upambane vp. Ndo nataka kujua experience katika waliowah au wanaosoma OUT
Mbona kwenye graduation zote za vyuo vikuu huwa nasikia wanatajwa
waliofaya vizuri wana first class GPA kati ya 4.5 hadi 5.

Jua kuwa uwezo wa uelewa, uchumi na hali zinatofautiana. Wakati wewe
unasoma kwa stress huku unatafuta ada mwenzako yeye kazi yake ni
kusoma tuu kila kitu kipo sawa, sio rahisi mfaulu kwa viwango sawa.
 
Back
Top Bottom