Heshima kwenu wote.
Napenda Uzi huu uwe maalum kwa watu walioko Tanzania na nje ya Tanzania, dhamira kuu ya Uzi huu ni kuwakutanisha watu wote wenye nia ya kwenda kusoma nje ya Africa na pengine kuishi huko sababu dunia ni Mali ya binadamu wrote.
Kwa maana hiyo mtanzania ulieko nje nchi hii au bara hili tunaomba utusaidie mawazo na mbinu ulizotumia kufika huko ughaibuni na Wewe mtanzania ulieko Tanzania useme una mikakati gani kwenda ughaibuni.
Kumbuka kila mtanzania anatakiwa akatafute elimu kila kona ya dunia ili upate maarifa na ujuzi mpya na wenye tija ili urudipo Tanzania usaidie nchi yako haiwezekani tuzidi kurudi nyuma wakati nchi nyingi zinaenda mbele karne hii ya 21.
Zingatia kuruani tukufu inasema mtafute elimu hata kama itakua UCHINA na Biblia takatifu inasema mshike sana elimu maana huo ndo uzima wako.
Mimi binafsi bado Niko Tanzania ila kila siku nafanya harakati za kwenda kutafuta elimu nje ya Tanzania.
Naomba kutoa hoja na karibuni kwa mawazo na mipango yenu.
Napenda Uzi huu uwe maalum kwa watu walioko Tanzania na nje ya Tanzania, dhamira kuu ya Uzi huu ni kuwakutanisha watu wote wenye nia ya kwenda kusoma nje ya Africa na pengine kuishi huko sababu dunia ni Mali ya binadamu wrote.
Kwa maana hiyo mtanzania ulieko nje nchi hii au bara hili tunaomba utusaidie mawazo na mbinu ulizotumia kufika huko ughaibuni na Wewe mtanzania ulieko Tanzania useme una mikakati gani kwenda ughaibuni.
Kumbuka kila mtanzania anatakiwa akatafute elimu kila kona ya dunia ili upate maarifa na ujuzi mpya na wenye tija ili urudipo Tanzania usaidie nchi yako haiwezekani tuzidi kurudi nyuma wakati nchi nyingi zinaenda mbele karne hii ya 21.
Zingatia kuruani tukufu inasema mtafute elimu hata kama itakua UCHINA na Biblia takatifu inasema mshike sana elimu maana huo ndo uzima wako.
Mimi binafsi bado Niko Tanzania ila kila siku nafanya harakati za kwenda kutafuta elimu nje ya Tanzania.
Naomba kutoa hoja na karibuni kwa mawazo na mipango yenu.