Kusoma sana ni uoga wa maisha na umburula pia

Kusoma sana ni uoga wa maisha na umburula pia

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Nashangazwa na hii mijitu kutwa kuzurura kwenye korido za vyuo vikuu yaani nawaona mburula balaa but mbaya zaidi wakimaliza kutwa kuzunguka na baada bahasha la kaki kutafuta employment au wengine wanajiendeleza na kusoma eti kisa kuongeza laki 200000 tu kwenye mshahara wake! Huo ni ulofa na umburula

Lijitu limesoma 7 year halafu anakuja kuambulia 1.5 milion huu si ulofa? Na lijitu lingine linasoma 3 year na anajiita msomi kwa mshahara wa 540000 take home huu si umburula? Halafu utakuta hana hata mia mbovu mfukoni make?

Kuna mwana yeye kutwa kuwapiga vizinga wenzio na hapo halafu anajiita msomi halafu hana hata mia mbovu kazi kutusumbua sie wenye Diploma pesa ya kula na kumvisha mkewe! Ni upuuzi na ujinga mpaka leo mtu anaamini elimu ya vyeti na malofa wengine wanaamini basic thing eti food,shelter and clothes ni ulofa na umburula
 
Nashangazwa na hii mijitu kutwa kuzurura kwenye korido za vyuo vikuu yaani nawaona mburula balaa but mbaya zaidi wakimaliza kutwa kuzunguka na baada bahasha la kaki kutafuta employment au wengine wanajiendeleza na kusoma eti kisa kuongeza laki 200000 tu kwenye mshahara wake! Huo ni ulofa na umburula

Lijitu limesoma 7 year halafu anakuja kuambulia 1.5 milion huu si ulofa? Na lijitu lingine linasoma 3 year na anajiita msomi kwa mshahara wa 540000 take home huu si umburula? Halafu utakuta hana hata mia mbovu mfukoni make?

Kuna mwana yeye kutwa kuwapiga vizinga wenzio na hapo halafu anajiita msomi halafu hana hata mia mbovu kazi kutusumbua sie wenye Diploma pesa ya kula na kumvisha mkewe! Ni upuuzi na ujinga mpaka leo mtu anaamini elimu ya vyeti na malofa wengine wanaamini basic thing eti food,shelter and clothes ni ulofa na umburula
[emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Take home 540,000 mbona ana kibunda kikubwa? Tuulize tuliopo kwenye hiyo sekta esp kwa Private, kuna watu tuna/ wana take home za dola 50,70,100.
Nyingine alishazila na ma adv ya kila rangi. Ila kunakuwepo na kuponea kwa perdiem & allowances
 
Nashangazwa na hii mijitu kutwa kuzurura kwenye korido za vyuo vikuu yaani nawaona mburula balaa but mbaya zaidi wakimaliza kutwa kuzunguka na baada bahasha la kaki kutafuta employment au wengine wanajiendeleza na kusoma eti kisa kuongeza laki 200000 tu kwenye mshahara wake! Huo ni ulofa na umburula

Lijitu limesoma 7 year halafu anakuja kuambulia 1.5 milion huu si ulofa? Na lijitu lingine linasoma 3 year na anajiita msomi kwa mshahara wa 540000 take home huu si umburula? Halafu utakuta hana hata mia mbovu mfukoni make?

Kuna mwana yeye kutwa kuwapiga vizinga wenzio na hapo halafu anajiita msomi halafu hana hata mia mbovu kazi kutusumbua sie wenye Diploma pesa ya kula na kumvisha mkewe! Ni upuuzi na ujinga mpaka leo mtu anaamini elimu ya vyeti na malofa wengine wanaamini basic thing eti food,shelter and clothes ni ulofa na umburula
Acha wivu wewe nenda kasome.
 
Take home 540,000 mbona ana kibunda kikubwa? Tuulize tuliopo kwenye hiyo sekta esp kwa Private, kuna watu tuna/ wana take home za dola 50,70,100.
Nyingine alishazila na ma adv ya kila rangi. Ila kunakuwepo na kuponea kwa perdiem & allowances
Dola 50-100 private kwa mwez??
 
Nashangazwa na hii mijitu kutwa kuzurura kwenye korido za vyuo vikuu yaani nawaona mburula balaa but mbaya zaidi wakimaliza kutwa kuzunguka na baada bahasha la kaki kutafuta employment au wengine wanajiendeleza na kusoma eti kisa kuongeza laki 200000 tu kwenye mshahara wake! Huo ni ulofa na umburula

Lijitu limesoma 7 year halafu anakuja kuambulia 1.5 milion huu si ulofa? Na lijitu lingine linasoma 3 year na anajiita msomi kwa mshahara wa 540000 take home huu si umburula? Halafu utakuta hana hata mia mbovu mfukoni make?

Kuna mwana yeye kutwa kuwapiga vizinga wenzio na hapo halafu anajiita msomi halafu hana hata mia mbovu kazi kutusumbua sie wenye Diploma pesa ya kula na kumvisha mkewe! Ni upuuzi na ujinga mpaka leo mtu anaamini elimu ya vyeti na malofa wengine wanaamini basic thing eti food,shelter and clothes ni ulofa na umburula
Sikuombei ugojwa, but siku ukipata tatizo ukaenda pale Muhimbili ndio utajua nini maana ya elimu. Hivi unafikiri dunia inaongozwa na watu wajinga kama wewe?.

Hivyo simu unayotumia kuandika huu ujinga unafikiri imetengenezwa na watu wajinga kama wewe?
 
Sikuombei ugojwa, but siku ukipata tatizo ukaenda pale Muhimbili ndio utajua nini maana ya elimu. Hivi unafikiri dunia inaongozwa na watu wajinga kama wewe?.

Hivyo simu unayotumia kuandika huu ujinga unafikiri imetengenezwa na watu wajinga kama wewe?

fuatilia aliyebuni simu siyo profesa
 
Nashangazwa na hii mijitu kutwa kuzurura kwenye korido za vyuo vikuu yaani nawaona mburula balaa but mbaya zaidi wakimaliza kutwa kuzunguka na baada bahasha la kaki kutafuta employment au wengine wanajiendeleza na kusoma eti kisa kuongeza laki 200000 tu kwenye mshahara wake! Huo ni ulofa na umburula

Lijitu limesoma 7 year halafu anakuja kuambulia 1.5 milion huu si ulofa? Na lijitu lingine linasoma 3 year na anajiita msomi kwa mshahara wa 540000 take home huu si umburula? Halafu utakuta hana hata mia mbovu mfukoni make?

Kuna mwana yeye kutwa kuwapiga vizinga wenzio na hapo halafu anajiita msomi halafu hana hata mia mbovu kazi kutusumbua sie wenye Diploma pesa ya kula na kumvisha mkewe! Ni upuuzi na ujinga mpaka leo mtu anaamini elimu ya vyeti na malofa wengine wanaamini basic thing eti food,shelter and clothes ni ulofa na umburula
Punguza stress hizo. Kwanza umekula?
 
Mkuu uzi si unazungumzia take home?
Sasa kwanini ushangae take home ya dola 50-100?
Ni take home kaka, after all deduction, kile kinachobaki.
Sasa unakuta kuna mwezi au miezi mtu kala salary adv, ana mkopo, labda ana deni la imprest analipa.bado zile statutory deduction

Dola 50-100 private kwa mwez??
 
Back
Top Bottom