Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Nashangazwa na hii mijitu kutwa kuzurura kwenye korido za vyuo vikuu yaani nawaona mburula balaa but mbaya zaidi wakimaliza kutwa kuzunguka na baada bahasha la kaki kutafuta employment au wengine wanajiendeleza na kusoma eti kisa kuongeza laki 200000 tu kwenye mshahara wake! Huo ni ulofa na umburula
Lijitu limesoma 7 year halafu anakuja kuambulia 1.5 milion huu si ulofa? Na lijitu lingine linasoma 3 year na anajiita msomi kwa mshahara wa 540000 take home huu si umburula? Halafu utakuta hana hata mia mbovu mfukoni make?
Kuna mwana yeye kutwa kuwapiga vizinga wenzio na hapo halafu anajiita msomi halafu hana hata mia mbovu kazi kutusumbua sie wenye Diploma pesa ya kula na kumvisha mkewe! Ni upuuzi na ujinga mpaka leo mtu anaamini elimu ya vyeti na malofa wengine wanaamini basic thing eti food,shelter and clothes ni ulofa na umburula
Lijitu limesoma 7 year halafu anakuja kuambulia 1.5 milion huu si ulofa? Na lijitu lingine linasoma 3 year na anajiita msomi kwa mshahara wa 540000 take home huu si umburula? Halafu utakuta hana hata mia mbovu mfukoni make?
Kuna mwana yeye kutwa kuwapiga vizinga wenzio na hapo halafu anajiita msomi halafu hana hata mia mbovu kazi kutusumbua sie wenye Diploma pesa ya kula na kumvisha mkewe! Ni upuuzi na ujinga mpaka leo mtu anaamini elimu ya vyeti na malofa wengine wanaamini basic thing eti food,shelter and clothes ni ulofa na umburula