Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Dah unakuwa tight sana aisee..Mkuu uzi si unazungumzia take home?
Sasa kwanini ushangae take home ya dola 50-100?
Ni take home kaka, after all deduction, kile kinachobaki.
Sasa unakuta kuna mwezi au miezi mtu kala salary adv, ana mkopo, labda ana deni la imprest analipa.bado zile statutory deduction
Ukikataa kuelewa pole ๐Dah unakuwa tight sana aisee..
[emoji16][emoji16][emoji16]wameamia kwa wasomi sasa, aisee kazi kwelikweli [emoji28][emoji119]
Jamaaa anachojua ni watu wanasoma na krndeleza elimu ili wapate pesa tuu na kuongeza vipato vyao tuSikuombei ugojwa, but siku ukipata tatizo ukaenda pale Muhimbili ndio utajua nini maana ya elimu. Hivi unafikiri dunia inaongozwa na watu wajinga kama wewe?.
Hivyo simu unayotumia kuandika huu ujinga unafikiri imetengenezwa na watu wajinga kama wewe?
Walimu, wasomi kazi wanayo [emoji16][emoji16][emoji16]wameamia kwa wasomi sasa, aisee kazi kwelikweli [emoji28][emoji119]
yani mpaka huu mwaka uishe tutayaona mengi mno kha๐Walimu, wasomi kazi wanayo [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16] mzee ni nomayani mpaka huu mwaka uishe tutayaona mengi mno kha[emoji28]
We nenda kazooe taka za jiji huko ofisi ya mkuu wa wilayaSikuombei ugojwa, but siku ukipata tatizo ukaenda pale Muhimbili ndio utajua nini maana ya elimu. Hivi unafikiri dunia inaongozwa na watu wajinga kama wewe?.
Hivyo simu unayotumia kuandika huu ujinga unafikiri imetengenezwa na watu wajinga kama wewe?
Maisha marefu sana kwako kiongozi! Tuma namba P.M nikutumie idd yako ๐ ๐ ๐ ๐๐พSikuombei ugojwa, but siku ukipata tatizo ukaenda pale Muhimbili ndio utajua nini maana ya elimu. Hivi unafikiri dunia inaongozwa na watu wajinga kama wewe?.
Hivyo simu unayotumia kuandika huu ujinga unafikiri imetengenezwa na watu wajinga kama wewe?
Mkuu unamaanisha 5.7m kwa mwezi ni hela kubwa kwa mfanyabiashara????Juzi nimeona kazi embassy moja ebhana normal officer analamba 5.7m huko wewe mwenye diploma unadhani lini utamake 5.7m per month hata ukifanya biashara labda ufanye uchawi sijui kafara๐๐๐
Ukiona mtu anawasema sana wasomi ujue yeye hana vigezo vya kuendelea na elimu ๐คฃ๐คฃ๐คฃNashangazwa na hii mijitu kutwa kuzurura kwenye korido za vyuo vikuu yaani nawaona mburula balaa but mbaya zaidi wakimaliza kutwa kuzunguka na baada bahasha la kaki kutafuta employment au wengine wanajiendeleza na kusoma eti kisa kuongeza laki 200000 tu kwenye mshahara wake! Huo ni ulofa na umburula
Lijitu limesoma 7 year halafu anakuja kuambulia 1.5 milion huu si ulofa? Na lijitu lingine linasoma 3 year na anajiita msomi kwa mshahara wa 540000 take home huu si umburula? Halafu utakuta hana hata mia mbovu mfukoni make?
Kuna mwana yeye kutwa kuwapiga vizinga wenzio na hapo halafu anajiita msomi halafu hana hata mia mbovu kazi kutusumbua sie wenye Diploma pesa ya kula na kumvisha mkewe! Ni upuuzi na ujinga mpaka leo mtu anaamini elimu ya vyeti na malofa wengine wanaamini basic thing eti food,shelter and clothes ni ulofa na umburula