The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,117
- 7,899
Baada ya kusoma Sheria watoto wakike wanashindwa kufit kwenye jamii. Ndoa zao ni taabu na nyingi maana wanataka kureason Kila kitu na kupigania 50/50.
Wanakuwa brainwashed kwa kiwango kikubwa na kugeuka watetezi wa lifestyle za ulaya na wanaona Mila na desturi za waafrica ni barabaric na zimepitwa na wakati. Wanaanzisha ma NGO ya kutetea tamaduni za kizungu pasipo kujua madhara yake.
Watoto wangu wakike hawatasoma Sheria hata kama wakililia
Wanakuwa brainwashed kwa kiwango kikubwa na kugeuka watetezi wa lifestyle za ulaya na wanaona Mila na desturi za waafrica ni barabaric na zimepitwa na wakati. Wanaanzisha ma NGO ya kutetea tamaduni za kizungu pasipo kujua madhara yake.
Watoto wangu wakike hawatasoma Sheria hata kama wakililia