Kusoma Sheria kunawachanganya watoto wa kike

Kusoma Sheria kunawachanganya watoto wa kike

Utasikia mwanamke anawadanganya wenzio "MIMI KWANGU SI OMBI RUHUSU NIKITAKA KUONDOKA NATOA TU TAARIFA" wao pia kwa ujinga wanahitikia, hakuna mwanamme atakubali mwanamke ampe tu taarifa bila kuomba ruhusu mapema kabla ya siku ya tukio kuwa atasafiri kwenda point X.

Yule msanii aliekuwa anawapotosha na kuamasisha wanawake wenzie kumbe Uchebe sijui anamdunda kwelikweli.
Ubaya wanawake wanapigana kamba Sana wakikutana. Kila mtu anataka kumvimbia mwenzie kumbe uhalisia wa nyumbani hauko hivyo. Sasa unakuta Kuna mmoja alitaka aende nyumbani na aache kumuaga mume wake
 
Baada ya kusoma Sheria watoto wakike wanashindwa kufit kwenye jamii. Ndoa zao ni taabu na nyingi maana wanataka kureason Kila kitu na kupigania 50/50.

Wanakuwa brainwashed kwa kiwango kikubwa na kugeuka watetezi wa lifestyle za ulaya na wanaona Mila na desturi za waafrica ni barabaric na zimepitwa na wakati. Wanaanzisha ma NGO ya kutetea tamaduni za kizungu pasipo kujua madhara yake.

Watoto wangu wakike hawatasoma Sheria hata kama wakililia
huku kuna mtu kamshtaki mmiliki wa jogoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tusubilie ashtakiwe mbuz,,
 
Baada ya kusoma Sheria watoto wakike wanashindwa kufit kwenye jamii. Ndoa zao ni taabu na nyingi maana wanataka kureason Kila kitu na kupigania 50/50.

Wanakuwa brainwashed kwa kiwango kikubwa na kugeuka watetezi wa lifestyle za ulaya na wanaona Mila na desturi za waafrica ni barabaric na zimepitwa na wakati. Wanaanzisha ma NGO ya kutetea tamaduni za kizungu pasipo kujua madhara yake.

Watoto wangu wakike hawatasoma Sheria hata kama wakililia
Waache wasome hutawaoa wewe.
 
Waliowengi akilizao wanajua wanaoongoza nchi ni wao. Wanasema niawamu ya wanawake
 
Msiseme wadada wanaosoma sheria as if ni wote wanachochea ushoga... katika sheria kuna somo linaitwa human rights sasa ingawa human rights ni universal tunatakiwa kuzingatia zaidi mila na desturi ya nchi husika
Tanzania sio sheria wala mila na desturi inataka ushoga... nyie wenyewe mtakua mnashindwa kuelewana na wanasheria wanapoongelea ushoga mara nyingi mtu sio kwamba anasema waacheni mashoga warndelee na ushoga Ila wanasema zile adhabu ambazo Jamii inafikiria kufanya juu ya mashoga
Mfano ukisema mashoga wauwawe hapo ndio wanakuja na kutetewa haki yao ya kibinadamu ya kuishi izingatiwe
Em fikiria kama tungekua tunaua kila anayeenda kinyume na sheria na maadili wangapi tungebak
 
Wala sheria hasababishi watu kua na kiburi kwenye ndoa zao.. ni baadhi tu especially Kama mtu ana hiyo tabia
Ukiwa na mwanamke wako mwanasheria unatakiwa usiweke hayo mawazo mbele kiasi kwamba hata akizidisha chumvi kwenye mboga unaanza kusema yani nyie wanasheria
Wadada mawakili very romantic wanapenda wenzi wao isipokua tu huwezi kuendana nao kama kichwani sio smart [emoji23][emoji23]
Wala hakuna somo la sheria linalosema mwanamke ukisoma sheria inabidi uwe sio humble
Au nyie mnakutana na wanawake wanasheria wamesomea wapi... cuba? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuh rudia kusoma ujue anacho maanixha hatuzungumzii ndoa na mahusiano

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Unamsema shangazi yule mjukuu wa raisi wa zanzibar anayetetea upinde.
 
sipendi sana mambo ya 50/50, Men will always be men and Women neither. napenda sana enzi za mababu zetu.
 
Back
Top Bottom