Kusoma Sheria kunawachanganya watoto wa kike

Ubaya wanawake wanapigana kamba Sana wakikutana. Kila mtu anataka kumvimbia mwenzie kumbe uhalisia wa nyumbani hauko hivyo. Sasa unakuta Kuna mmoja alitaka aende nyumbani na aache kumuaga mume wake
 
huku kuna mtu kamshtaki mmiliki wa jogoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tusubilie ashtakiwe mbuz,,
 
Waache wasome hutawaoa wewe.
 
Waliowengi akilizao wanajua wanaoongoza nchi ni wao. Wanasema niawamu ya wanawake
 
Msiseme wadada wanaosoma sheria as if ni wote wanachochea ushoga... katika sheria kuna somo linaitwa human rights sasa ingawa human rights ni universal tunatakiwa kuzingatia zaidi mila na desturi ya nchi husika
Tanzania sio sheria wala mila na desturi inataka ushoga... nyie wenyewe mtakua mnashindwa kuelewana na wanasheria wanapoongelea ushoga mara nyingi mtu sio kwamba anasema waacheni mashoga warndelee na ushoga Ila wanasema zile adhabu ambazo Jamii inafikiria kufanya juu ya mashoga
Mfano ukisema mashoga wauwawe hapo ndio wanakuja na kutetewa haki yao ya kibinadamu ya kuishi izingatiwe
Em fikiria kama tungekua tunaua kila anayeenda kinyume na sheria na maadili wangapi tungebak
 
Duuh rudia kusoma ujue anacho maanixha hatuzungumzii ndoa na mahusiano

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Unamsema shangazi yule mjukuu wa raisi wa zanzibar anayetetea upinde.
 
sipendi sana mambo ya 50/50, Men will always be men and Women neither. napenda sana enzi za mababu zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…