Kusoma shule za gharama kuna faida nyingi sana kuliko hasara

Kusoma shule za gharama kuna faida nyingi sana kuliko hasara

Apollo tyres

Senior Member
Joined
Nov 16, 2024
Posts
109
Reaction score
286
Wakuu habari.

Nimekuwa nafatilia Sana kuhusu mada mbali mbali kuhusu mtoto kusoma shule za kata au kayumba na kumsomesha shule za gharama Private.


Kwa kuanza nitatoa mifano mifano kadhaa kuhusu Mimi binafsi.


Mimi nilipata bahati ya kusoma shule za gharama kubwa kuanzia kidato cha kwanza mpaka form six .

Na hatimaye tulijiunga na masomo ya chuo kikuu.


Maisha ya chuo Kwa upande wangu yalikuwa mazuri Kwa aslimia kubwa.

Na waliotoka Kayumba na wenyewe walifanya vizuri Sana .


Ila one of the big mistake ambayo ilikuja kutokea kati ya Mtu akiyetoka kayumba na sisi ambao tumetoka shule bora na za gharama ni katika uelewa wa mambo ya kimaisha .


Kiuweli hawa Kayumba wanaosoma na kufaulu Kwa kukariri Ila kichwani hamna kitu kabisa.

Hawajui lugha ya kiingereza hata kidogo , hana uwezo hata wa kujielezea Kwa kiingereza , kujiamini hawawezi n.k.


Baada ya kutoka chuo miaka ya 2016s


Wengi mpaka Leo waliosomea ulaimu hawajapata Ajira na ni jobless ?


Ila wale waliotoka shule bora wameajiriwa katika makampuni makubwa kwakuwa wana network kubwa na wanafahamiana na CLASSMATE WAO ambao wanatoka familia bora .

Na wengine wapo nje wanafanya Kazi .


Hivyo mzazi au mlezi shule za kayumba Kama Una uwezo usimsomeshe mtoto wako dunia ya Leo ni dunia ya network

mtoto anasoma ualimu akikosa Ajira anaona destiny yake imefika mwisho .


Mshahara wemyewe wa Mwalimu ni 500K-900 no allowance no per diem n.k



Ukienda katika makampuni watu wemgine wamefika tu form four Ila lugha ipo vizuri wanapata mashavu makubwa so we need to change our mind set.

Kama naongea uongo nipigwe mawe Ila shule za serikali hazina maana.
 
Wakuu habari.

Nimekuwa nafatilia Sana kuhusu mada mbali mbali kuhusu mtoto kusoma shule za kata au kayumba na kumsomesha shule za gharama Private.


Kwa kuanza nitatoa mifano mifano kadhaa kuhusu Mimi binafsi.


Mimi nilipata bahati ya kusoma shule za gharama kubwa kuanzia kidato cha kwanza mpaka form six .

Na hatimaye tulijiunga na masomo ya chuo kikuu.


Maisha ya chuo Kwa upande wangu yalikuwa mazuri Kwa aslimia kubwa.

Na waliotoka Kayumba na wenyewe walifanya vizuri Sana .


Ila one of the big mistake ambayo ilikuja kutokea kati ya Mtu akiyetoka kayumba na sisi ambao tumetoka shule bora na za gharama ni katika uelewa wa mambo ya kimaisha .


Kiuweli hawa Kayumba wanaosoma na kufaulu Kwa kukariri Ila kichwani hamna kitu kabisa.

Hawajui lugha ya kiingereza hata kidogo , hana uwezo hata wa kujielezea Kwa kiingereza , kujiamini hawawezi n.k.


Baada ya kutoka chuo miaka ya 2016s


Wengi mpaka Leo waliosomea ulaimu hawajapata Ajira na ni jobless ?


Ila wale waliotoka shule bora wameajiriwa katika makampuni makubwa kwakuwa wana network kubwa na wanafahamiana na CLASSMATE WAO ambao wanatoka familia bora .

Na wengine wapo nje wanafanya Kazi .


Hivyo mzazi au mlezi shule za kayumba Kama Una uwezo usimsomeshe mtoto wako dunia ya Leo ni dunia ya network

mtoto anasoma ualimu akikosa Ajira anaona destiny yake imefika mwisho .


Mshahara wemyewe wa Mwalimu ni 500K-900 no allowance no per diem n.k



Ukienda katika makampuni watu wemgine wamefika tu form four Ila lugha ipo vizuri wanapata mashavu makubwa so we need to change our mind set.

Kama naongea uongo nipigwe mawe Ila shule za serikali hazina maana.
Mzazi saidia mwanao kwa kumtengenezea network ya marafiki wenye maana, kwasababu ndo misingi ya mafanikio, kusoma na watoto wa bodaboda au mama tilie hakusaidii mwanao kupata network ya maisha baada ya masomo, tafuta marafiki wanao kuzidi si unao wazidi.
 
Wakuu habari.

Nimekuwa nafatilia Sana kuhusu mada mbali mbali kuhusu mtoto kusoma shule za kata au kayumba na kumsomesha shule za gharama Private.


Kwa kuanza nitatoa mifano mifano kadhaa kuhusu Mimi binafsi.


Mimi nilipata bahati ya kusoma shule za gharama kubwa kuanzia kidato cha kwanza mpaka form six .

Na hatimaye tulijiunga na masomo ya chuo kikuu.


Maisha ya chuo Kwa upande wangu yalikuwa mazuri Kwa aslimia kubwa.

Na waliotoka Kayumba na wenyewe walifanya vizuri Sana .


Ila one of the big mistake ambayo ilikuja kutokea kati ya Mtu akiyetoka kayumba na sisi ambao tumetoka shule bora na za gharama ni katika uelewa wa mambo ya kimaisha .


Kiuweli hawa Kayumba wanaosoma na kufaulu Kwa kukariri Ila kichwani hamna kitu kabisa.

Hawajui lugha ya kiingereza hata kidogo , hana uwezo hata wa kujielezea Kwa kiingereza , kujiamini hawawezi n.k.


Baada ya kutoka chuo miaka ya 2016s


Wengi mpaka Leo waliosomea ulaimu hawajapata Ajira na ni jobless ?


Ila wale waliotoka shule bora wameajiriwa katika makampuni makubwa kwakuwa wana network kubwa na wanafahamiana na CLASSMATE WAO ambao wanatoka familia bora .

Na wengine wapo nje wanafanya Kazi .


Hivyo mzazi au mlezi shule za kayumba Kama Una uwezo usimsomeshe mtoto wako dunia ya Leo ni dunia ya network

mtoto anasoma ualimu akikosa Ajira anaona destiny yake imefika mwisho .


Mshahara wemyewe wa Mwalimu ni 500K-900 no allowance no per diem n.k



Ukienda katika makampuni watu wemgine wamefika tu form four Ila lugha ipo vizuri wanapata mashavu makubwa so we need to change our mind set.

Kama naongea uongo nipigwe mawe Ila shule za serikali hazina maana.
Upigwe tofali kabisa na sio jiwe.Kwa hiyo kama hatuna UWEZO watoto wetu wakasome wapi?
 
Kila mmoja ajikune anapoweza, hakuna aijuaye kesho ila tunaishi kwa tahadhari tu.

Uelewa wa maisha unategemea sana na malezi ya mtoto kutokea nyumbani kwao, wapo pia watoto wa kishua waliosoma shule nzuri tuko nao huku maofisini ila ni watupu hawajui hata ulimwengu uko vipi.

Hakuna mzazi anayependa kumpa mwanaye jiwe badala ya mkate. Na mzazi ukiweza kumpeleka mtoto shule za gharama hujamaliza, jitahidi aufahamu ulimwengu wa kimataifa kwa mapana.

Mfano mimi nyumbani kwangu kila siku lazima watoto waangalie habari kutoka vituo vikubwa vya kimataifa, ni utaratibu ambao umebadili upeo wa watoto kuhusu ulimwengu na maisha kiujumla.
 
Wakuu habari.

Nimekuwa nafatilia Sana kuhusu mada mbali mbali kuhusu mtoto kusoma shule za kata au kayumba na kumsomesha shule za gharama Private.


Kwa kuanza nitatoa mifano mifano kadhaa kuhusu Mimi binafsi.


Mimi nilipata bahati ya kusoma shule za gharama kubwa kuanzia kidato cha kwanza mpaka form six .

Na hatimaye tulijiunga na masomo ya chuo kikuu.


Maisha ya chuo Kwa upande wangu yalikuwa mazuri Kwa aslimia kubwa.

Na waliotoka Kayumba na wenyewe walifanya vizuri Sana .


Ila one of the big mistake ambayo ilikuja kutokea kati ya Mtu akiyetoka kayumba na sisi ambao tumetoka shule bora na za gharama ni katika uelewa wa mambo ya kimaisha .


Kiuweli hawa Kayumba wanaosoma na kufaulu Kwa kukariri Ila kichwani hamna kitu kabisa.

Hawajui lugha ya kiingereza hata kidogo , hana uwezo hata wa kujielezea Kwa kiingereza , kujiamini hawawezi n.k.


Baada ya kutoka chuo miaka ya 2016s


Wengi mpaka Leo waliosomea ulaimu hawajapata Ajira na ni jobless ?


Ila wale waliotoka shule bora wameajiriwa katika makampuni makubwa kwakuwa wana network kubwa na wanafahamiana na CLASSMATE WAO ambao wanatoka familia bora .

Na wengine wapo nje wanafanya Kazi .


Hivyo mzazi au mlezi shule za kayumba Kama Una uwezo usimsomeshe mtoto wako dunia ya Leo ni dunia ya network

mtoto anasoma ualimu akikosa Ajira anaona destiny yake imefika mwisho .


Mshahara wemyewe wa Mwalimu ni 500K-900 no allowance no per diem n.k



Ukienda katika makampuni watu wemgine wamefika tu form four Ila lugha ipo vizuri wanapata mashavu makubwa so we need to change our mind set.

Kama naongea uongo nipigwe mawe Ila shule za serikali hazina maana.
Wewe ni mmiliki wa Scania Tanzania
 
Una hoja nzuri
Lakini uwezo wa kusomesha international schools hatuna
Tunasomesha English medium ada million 1 Kwa mwaka
 
Kila mmoja ajikune anapoweza, hakuna aijuaye kesho ila tunaishi kwa tahadhari tu.

Uelewa wa maisha unategemea sana na malezi ya mtoto kutokea nyumbani kwao, wapo pia watoto wa kishua waliosoma shule nzuri tuko nao huku maofisini ila ni watupu hawajui hata ulimwengu uko vipi.

Hakuna mzazi anayependa kumpa mwanaye jiwe badala ya mkate. Na mzazi ukiweza kumpeleka mtoto shule za gharama hujamaliza, jitahidi aufahamu ulimwengu wa kimataifa kwa mapana.

Mfano mimi nyumbani kwangu kila siku lazima watoto waangalie habari kutoka vituo vikubwa vya kimataifa, ni utaratibu ambao umebadili upeo wa watoto kuhusu ulimwengu na maisha kiujumla.
Sasa wewe una familia sasa ilikuwaje ukawa na tapeli Habib Hanga?
 
Ishu kubwa watu huwa lengo ni kuwatengenezea watoto wao network za maisha huko mbeleni maana classmates ni kama ndugu yako
 
Wakuu habari.

Nimekuwa nafatilia Sana kuhusu mada mbali mbali kuhusu mtoto kusoma shule za kata au kayumba na kumsomesha shule za gharama Private.


Kwa kuanza nitatoa mifano mifano kadhaa kuhusu Mimi binafsi.


Mimi nilipata bahati ya kusoma shule za gharama kubwa kuanzia kidato cha kwanza mpaka form six .

Na hatimaye tulijiunga na masomo ya chuo kikuu.


Maisha ya chuo Kwa upande wangu yalikuwa mazuri Kwa aslimia kubwa.

Na waliotoka Kayumba na wenyewe walifanya vizuri Sana .


Ila one of the big mistake ambayo ilikuja kutokea kati ya Mtu akiyetoka kayumba na sisi ambao tumetoka shule bora na za gharama ni katika uelewa wa mambo ya kimaisha .


Kiuweli hawa Kayumba wanaosoma na kufaulu Kwa kukariri Ila kichwani hamna kitu kabisa.

Hawajui lugha ya kiingereza hata kidogo , hana uwezo hata wa kujielezea Kwa kiingereza , kujiamini hawawezi n.k.


Baada ya kutoka chuo miaka ya 2016s


Wengi mpaka Leo waliosomea ulaimu hawajapata Ajira na ni jobless ?


Ila wale waliotoka shule bora wameajiriwa katika makampuni makubwa kwakuwa wana network kubwa na wanafahamiana na CLASSMATE WAO ambao wanatoka familia bora .

Na wengine wapo nje wanafanya Kazi .


Hivyo mzazi au mlezi shule za kayumba Kama Una uwezo usimsomeshe mtoto wako dunia ya Leo ni dunia ya network

mtoto anasoma ualimu akikosa Ajira anaona destiny yake imefika mwisho .


Mshahara wemyewe wa Mwalimu ni 500K-900 no allowance no per diem n.k



Ukienda katika makampuni watu wemgine wamefika tu form four Ila lugha ipo vizuri wanapata mashavu makubwa so we need to change our mind set.

Kama naongea uongo nipigwe mawe Ila shule za serikali hazina maana.
Mi nilifikiri hiyo imekusaidia kuwa na kampuni yako!! Kumbe unazungumzia kuajiriwa!!!
 
Ni ukweli usiopingika ila Swali langu kwako mleta mada ni kwanini mboga saba wengi ni mabwabwa ukilinganisha na hao kayumba?
 
Wakuu habari.

Nimekuwa nafatilia Sana kuhusu mada mbali mbali kuhusu mtoto kusoma shule za kata au kayumba na kumsomesha shule za gharama Private.


Kwa kuanza nitatoa mifano mifano kadhaa kuhusu Mimi binafsi.


Mimi nilipata bahati ya kusoma shule za gharama kubwa kuanzia kidato cha kwanza mpaka form six .

Na hatimaye tulijiunga na masomo ya chuo kikuu.


Maisha ya chuo Kwa upande wangu yalikuwa mazuri Kwa aslimia kubwa.

Na waliotoka Kayumba na wenyewe walifanya vizuri Sana .


Ila one of the big mistake ambayo ilikuja kutokea kati ya Mtu akiyetoka kayumba na sisi ambao tumetoka shule bora na za gharama ni katika uelewa wa mambo ya kimaisha .


Kiuweli hawa Kayumba wanaosoma na kufaulu Kwa kukariri Ila kichwani hamna kitu kabisa.

Hawajui lugha ya kiingereza hata kidogo , hana uwezo hata wa kujielezea Kwa kiingereza , kujiamini hawawezi n.k.


Baada ya kutoka chuo miaka ya 2016s


Wengi mpaka Leo waliosomea ulaimu hawajapata Ajira na ni jobless ?


Ila wale waliotoka shule bora wameajiriwa katika makampuni makubwa kwakuwa wana network kubwa na wanafahamiana na CLASSMATE WAO ambao wanatoka familia bora .

Na wengine wapo nje wanafanya Kazi .


Hivyo mzazi au mlezi shule za kayumba Kama Una uwezo usimsomeshe mtoto wako dunia ya Leo ni dunia ya network

mtoto anasoma ualimu akikosa Ajira anaona destiny yake imefika mwisho .


Mshahara wemyewe wa Mwalimu ni 500K-900 no allowance no per diem n.k



Ukienda katika makampuni watu wemgine wamefika tu form four Ila lugha ipo vizuri wanapata mashavu makubwa so we need to change our mind set.

Kama naongea uongo nipigwe mawe Ila shule za serikali hazina maana.
Shule za Gharama ni International School pekee
 
Ishu kubwa watu huwa lengo ni kuwatengenezea watoto wao network za maisha huko mbeleni maana classmates ni kama ndugu yako
Mimi kwa upande wangu my classmates wengi ukiwaomba connection na ukaeleza Hali yako washkaji wanaenda kutangaza huko kwa other classmates
 
Back
Top Bottom