Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Yah ni wa kike ndio 11 yearsKama ni WA kike Huwa ni wepesi kwenye Kingereza Kuna namna wanalielewa kuliko wanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah ni wa kike ndio 11 yearsKama ni WA kike Huwa ni wepesi kwenye Kingereza Kuna namna wanalielewa kuliko wanaume
Umeelewa concern yangu? Kwa taarifa Yako miaka waliyosoma wao huko shule za Umma English ilikuwa ni lazima na Wanafunzi Wakiwa shule ilikuwa lazima waongee English nadhani umejisahaukiwha na vibao vya speak English, English only nkHivi kina kina Mruma au Ndalichako walisoma English medium gani!?
Hujakutana wewe na walimu waliosoma vyuo vya private wenye certificate au diploma in primary education utachuchumaa chiniWatoto wanaongea kiingereza kibovu kama walimu wao. Walimu wenyewe ni hawa hawa wenye diploma flat za hapapa bongo kiingereza kinawapa shida kuongea fluentlly, watawezaje kufundisha watoto? Hizo diploma za kufundishia wanazijua wenyewe tu kwa kufauli mtihani na kupewa cheti ila kichwani ni watupu
Labda nikuulize kwa nini shule za English medium mfano za shule za msingi ndizo huongoza kitaifa wakati wLimu wake.wote ni watanzania hizo zenye waganda na wajenya mbona huwa haziko kwenye top list mitihani kitaifa?Tanzania Ina shida kubwa ya Walimu mahiri wa Kingereza.
Sasa kusomesha Watoto kwenye shule za English Medium za Kibongo ambazo walimu ndio hao wa 'the' nk ni kupoteza pesa maana mwisho wa siku ataishia kuwa kama kina Mruma au Ndalichako.
Kama umeamua kusomesha mtoto kwenye hizo shule ambapo wengi wa wazazi wanalenga mtoto ajue lugha basi aende kwenye shule Zenye walimu wa kigeni kama Waganda,Kenya au Zimbabwe au Zambia nk vinginevyo utapata hasara mara mbili.
Zambia wana English mbovu zaidi ya Tanzania. Sio kila ukiona nchi ya nje unadhani ina ubora kuliko TanzaniaTanzania Ina shida kubwa ya Walimu mahiri wa Kingereza.
Sasa kusomesha Watoto kwenye shule za English Medium za Kibongo ambazo walimu ndio hao wa 'the' nk ni kupoteza pesa maana mwisho wa siku ataishia kuwa kama kina Mruma au Ndalichako.
Kama umeamua kusomesha mtoto kwenye hizo shule ambapo wengi wa wazazi wanalenga mtoto ajue lugha basi aende kwenye shule Zenye walimu wa kigeni kama Waganda,Kenya au Zimbabwe au Zambia nk vinginevyo utapata hasara mara mbili.
Mbovu Kwa maana ipi? Rafudhi au English kama Lugha?Zambia wana English mbovu zaidi ya Tanzania. Sio kila ukiona nchi ya nje unadhani ina ubora kuliko Tanzania
Umeelewa concern yangu? Kwa taarifa Yako miaka waliyosoma wao huko shule za Umma English ilikuwa ni lazima na Wanafunzi Wakiwa shule ilikuwa lazima waongee English nadhani umejisahaukiwha na vibao vya speak English, English only nk
Pia walimu wao walikuwa na Kingereza kizuri.Sasa hivi unasoma English Medium za kishenzi za hao walimu wa the the ndio eti uje kuwa na fluent English thubutu
Duuuh noted kabla huja-editataishia kuwa kama kina Mruma au Ndalichako
Mimi tuu nimekutana na mazingira ya shule Zenye nafuu za bwenu sembuse wao wakifundishwa na walimu dizaini ya kina Nyerere ambao English walikuwa wanaijua?Mwaka gani huo unaousemea walisoma kwa kiingereza?
Miaka ipi?Kwa taarifa Yako miaka waliyosoma wao huko shule za Umma English ilikuwa ni lazima na Wanafunzi Wakiwa shule ilikuwa lazima waongee English nadhani umejisahaukiwha na vibao vya speak English, English only nk
Umekunywa nini?Mimi tuu nimekutana na mazingira ya shule Zenye nafuu za bwenu sembuse wao wakifundishwa na walimu dizaini ya kina Nyerere ambao English walikuwa wanaijua?
Ya Elimu ya mkoloni na UPE,wale walimu walikuwa vizuri kwenye lugha kuliko wa Sasa Sekondari ndio kabisaa walau walikuwa wanaongea Kingereza Cha kina Mruma ila sio fluentMiaka ipi?
✍️
Hata Nigeria utapata English ya kinigeria, hapa Tz sio mbaya kuwa na English ya Ki-TzSasa Bora tuu wabakie kwenye shule za Serikali za English Medium maana Zina nafuu ya gharama kulingana na Kingereza Cha Mchongo watakachpata 😁😁
Ila Sasa isiwe ya kama kina Mruma maana wanatia aibu.Hata Nigeria utapata English ya kinigeria, hapa Tz sio mbaya kuwa na English ya Ki-Tz
Wewe labda kama ulipeleka mwanao shule mbovu utajijuaUmeelewa concern yangu? Kwa taarifa Yako miaka waliyosoma wao huko shule za Umma English ilikuwa ni lazima na Wanafunzi Wakiwa shule ilikuwa lazima waongee English nadhani umejisahaukiwha na vibao vya speak English, English only nk
Pia walimu wao walikuwa na Kingereza kizuri.Sasa hivi unasoma English Medium za kishenzi za hao walimu wa the the ndio eti uje kuwa na fluent English thubutu
Mimi tuu nimekutana na mazingira ya shule Zenye nafuu za bwenu sembuse wao wakifundishwa na walimu dizaini ya kina Nyerere ambao English walikuwa wanaijua?
Sijasema wamesoma English Medium uwe unaelewa Bali miaka Yao hiyo wakisoma walimu walikuwa vizuri kiasi kwenye lugha kuliko wa Sasa ambao wapo huko kwenye English Medium.Ndalichako kazaliwa 1964 kama kusoma primary na secondary ni 1970s to late 1980s na wakati ndio wakati wa UPE sasa hiyo English medium sijui
Huyo ataweza maana English ni kama swaga YaoYah ni wa kike ndio 11 years
Walimu ni wale wale wa The The hamna kituWewe labda kama ulipeleka mwanao shule mbovu utajijua
Ziko shule za Serikali English medium ziko nyingi ziko vizuri mno ni pure English medium
Mwanao kama ulipeleka shule mbovu jilauku mwenyewe
Mfano hata International schools za kimataifa sio zote nzurii zingine unalipa ada milioni 30 kwa mwaka ,Waliku wanatokq mataifa mbalimbali ukija mtihani wa kimataifa mfano wa Cambridge wanaishia asilimia kubwa mkiani na matokeo yanayoweza kukuliza usiamini matokeo kuwa pesa yote nimemwaga matokeo ndio haya?
Mwanafunzi kusoma haendi kusoma kingereza pekee ondoa utoto wako humu
Lengo la elimu kusomesha mtoto sio tu awe fluent kwenye kingereza tu
Hujui hata maana ya elimu au maana ya mtoto.kusoma ni nini
Kama lengo lako ni ajue kingereza tu hujielewi kama mzazi
Wewe labda kama ulipeleka mwanao shule mbovu utajijua
Ziko shule za Serikali English medium ziko nyingi ziko vizuri mno ni pure English medium
Mwanao kama ulipeleka shule mbovu jilauku mwenyewe
Mfano hata International schools za kimataifa sio zote nzurii zingine unalipa ada milioni 30 kwa mwaka ,Waliku wanatokq mataifa mbalimbali ukija mtihani wa kimataifa mfano wa Cambridge wanaishia asilimia kubwa mkiani na matokeo yanayoweza kukuliza usiamini matokeo kuwa pesa yote nimemwaga matokeo ndio haya?
Mwanafunzi kusoma haendi kusoma kingereza pekee ondoa utoto wako humu
Lengo la elimu kusomesha mtoto sio tu awe fluent kwenye kingereza tu
Hujui hata maana ya elimu au maana ya mtoto.kusoma ni nini
Kama lengo lako ni ajue kingereza tu hujielewi kama mzazi