Kusomesha Watoto English Medium za Walimu wa Kitanzania ni Kupoteza Pesa

Kusomesha Watoto English Medium za Walimu wa Kitanzania ni Kupoteza Pesa

Tanzania Ina shida kubwa ya Walimu mahiri wa Kingereza.

Sasa kusomesha Watoto kwenye shule za English Medium za Kibongo ambazo walimu ndio hao wa 'the' nk ni kupoteza pesa maana mwisho wa siku ataishia kuwa kama kina Mruma au Ndalichako.

Kama umeamua kusomesha mtoto kwenye hizo shule ambapo wengi wa wazazi wanalenga mtoto ajue lugha basi aende kwenye shule Zenye walimu wa kigeni kama Waganda, Kenya au Zimbabwe au Zambia nk vinginevyo utapata hasara mara mbili.
Nakubaliana na wewe moja kwa moja, shule za kibongo hzi mtoto kuunda sentence nzuri ambayo haijirudii maneno ni changamoto.
 
Sio kweli mtoa mada;

Nina Vitoto vyangu vina miaka kadhaa huko English Medium lakini Lugha walivyoi- master utasema ni Graduates wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam aliyesomea Linguistics

Na Kiingereza changu cha Yes -You Know kama Cha Prof. Mruma hadi natumia Dictionary kuweza kuwasiliana naye wakirudi Likizo.

Tutafute Hela ili tusomeshe Watoto wetu shule nzuri ambapo watamaliza na Maarifa pamoja na kuwa na Uelewa wa kuzungumza Lugha ya Kiingereza kwa Ufasaha bila kumung'unya Maneno ile Aam ....amm, yeah....you know ....
 
Sio kweli mtoa mada;

Nina Vitoto vyangu vina miaka kadhaa huko English Medium lakini Lugha walivyoi- master utasema ni Graduates wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam aliyesomea Linguistics

Na Kiingereza changu cha Yes -You Know kama Cha Prof. Mruma hadi natumia Dictionary kuweza kuwasiliana naye wakirudi Likizo.

Tutafute Hela ili tusomeshe Watoto wetu shule nzuri ambapo watamaliza na Maarifa pamoja na kuwa na Uelewa wa kuzungumza Lugha ya Kiingereza kwa Ufasaha bila kumung'unya Maneno ile Aam ....amm, yeah....you know ....

Jina la shule.

-Kaveli-
 
Huwezi pata wanafunzi bora bila kuwa na walimu bora
 
Sio kweli mtoa mada;

Nina Vitoto vyangu vina miaka kadhaa huko English Medium lakini Lugha walivyoi- master utasema ni Graduates wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam aliyesomea Linguistics

Na Kiingereza changu cha Yes -You Know kama Cha Prof. Mruma hadi natumia Dictionary kuweza kuwasiliana naye wakirudi Likizo.

Tutafute Hela ili tusomeshe Watoto wetu shule nzuri ambapo watamaliza na Maarifa pamoja na kuwa na Uelewa wa kuzungumza Lugha ya Kiingereza kwa Ufasaha bila kumung'unya Maneno ile Aam ....amm, yeah....you know ....
Mwanangu juzi nimeona mtihani wake kaniandikia essay hyo Mimi sijaandika kuanzia form 1 mpk form 4
Kiukweli hizo hizi za ada 3m.. n.k ziko vzr
Yaani anajua kuandika mpk naona raha
 
Mwanangu juzi nimeona mtihani wake kaniandikia essay hyo Mimi sijaandika kuanzia form 1 mpk form 4
Kiukweli hizo hizi za ada 3m.. n.k ziko vzr
Yaani anajua kuandika mpk naona raha
Hongera Mkuu,

Hizo shule wako vizuri sana, nilishangaa mtoto wangu wa class II anajua kuhusu HIV in -outs tena unaweza kukuta kuliko watu wazima.

Anasema kama mna share Miswaki unaweza kupata HIV

======

Ngoja niendelee kutafuta hela kwaajili yao, sitaki lawama miye 🤗
 
Wote tunaopondea English medium schools hatuna savings hata ya laki 3 Kwa mwezi baada ya matumizi.


Vijana tafuteni Hela mpunguze chuki za kifala
 
Tanzania Ina shida kubwa ya Walimu mahiri wa Kingereza.

Sasa kusomesha Watoto kwenye shule za English Medium za Kibongo ambazo walimu ndio hao wa 'the' nk ni kupoteza pesa maana mwisho wa siku ataishia kuwa kama kina Mruma au Ndalichako.

Kama umeamua kusomesha mtoto kwenye hizo shule ambapo wengi wa wazazi wanalenga mtoto ajue lugha basi aende kwenye shule Zenye walimu wa kigeni kama Waganda, Kenya au Zimbabwe au Zambia nk vinginevyo utapata hasara mara mbili.
Mtoa post ana kitu huyu asipuuzwe,
 
Ila waalim jamani, eti hata r na l inawashinda kutamka.
 
Tanzania Ina shida kubwa ya Walimu mahiri wa Kingereza.

Sasa kusomesha Watoto kwenye shule za English Medium za Kibongo ambazo walimu ndio hao wa 'the' nk ni kupoteza pesa maana mwisho wa siku ataishia kuwa kama kina Mruma au Ndalichako.

Kama umeamua kusomesha mtoto kwenye hizo shule ambapo wengi wa wazazi wanalenga mtoto ajue lugha basi aende kwenye shule Zenye walimu wa kigeni kama Waganda, Kenya au Zimbabwe au Zambia nk vinginevyo utapata hasara mara mbili.
Wengine tulisoma saint kayumba, Kidumu na fagio,
Lakini kizungu chetu hata Prof Mruma haoni ndani!
Huko English medium ni mtoto apate msingi mzuri wa lugha kwanza, kubobea kwenye lugha, ni kujifunza mwenyewe,kule Zenj, kuna beach Boys, wanapiga kizungu, kileno, kifaransa, na, hawajamaliza hata LA, saba!!
 
Mrindoko Ni mpare.
Wapare wanaweka ubahili mbele akili inafuata nyuma.

Sishangai Kama kauli hiyo imetoka kwa mpare.
 
Back
Top Bottom