Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marioo yule anategemea majina ya mashangazi kungara kwenye mziki,so hajiamini 😅Kama mimi nikimwona nawaza bwana ake rubi au ant huyu hapa 😅😅tunaona kulelewa zaidi kuliko huo mziki wake,hana tofauti na nuhu mziwanda,na akiachwa na anti ndo mziki wake utaishia hapoTatizo anatembea na mishangazi (pun intended) yenye majina makubwa kuliko yeye kiasi cha kumezwa na umaarufu wa anaotembea nao.
Anajulikana zaidi kama mwanaume wa fulani kuliko kuwa mwanamuziki.
Aache kudate wazee
Vina mahusiano sana, hawezi kuchukiliwa kama ni serious music artist kwa kuwa media anamtambua zaidi kama kiben-ten na si kama artist. Media ndiyo hum-shape, humjenga, humbomoa, husababisha aonekane haiba fulani yaani every factor kwenye showbiz zina direct impact kwenye kazi za msanii. Hilo haliepukiki japo sijui hapa kama hilo jishangazi linasababisha awe kwenye limelight au linasababisha apotee.Ni kweli, lakini mziki kutofika kwa wadau havina mahusiano..
Stupid zakeHawezi mwanaume alozoea kulelewa hawezi acha abadan
Kama papuchi ya wema ni safi kabisa basi tutafute nini papuchi safi inaweza kuwa nacho.alifaidi sana papuchi swafi kabisa ya Wema huyu jamaa
Wema ako na papuchi swafi? Hebu kua serious basialifaidi sana papuchi swafi kabisa ya Wema huyu jamaa
Mna ugomvi na shangazii Ezekiel. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo anatembea na mishangazi (pun intended) yenye majina makubwa kuliko yeye kiasi cha kumezwa na umaarufu wa anaotembea nao.
Anajulikana zaidi kama mwanaume wa fulani kuliko kuwa mwanamuziki.
Unachanganya madesa wee khaaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alifaidi sana papuchi swafi kabisa ya Wema huyu jamaa
Bora useme weeHuyo ni Kalisah sio Kusah umechanganya majina,
Kusah kazaa na Ruby kahamia kwa Aunt Ezekiel
kwa kweliUnachanganya madesa wee khaaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe vitu swafi vipo ! kuwa chaputa ni undezi sana..alifaidi sana papuchi swafi kabisa ya Wema huyu jamaa