Kusudio langu la kupata suluhisho la kudumu la mgogoro wa wapalestina na wayahudi

Kusudio langu la kupata suluhisho la kudumu la mgogoro wa wapalestina na wayahudi

Gwappo Mwakatobe

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2019
Posts
1,730
Reaction score
2,230
Mara kadhaa nimewahi kushiriki na naendelea kushiriki kutoa maoni ya kusuluhisha mgogoro mkongwe na mgumu mno wa Wayahudi na Wapalestina.

Kwa ujasiri mkubwa kabisa, nisisitize kuwa nakusudia na niko tayari kabisa kusuluhisha mgogoro huu kwa niaba ya Afrika na Waafrika wote, hata kama sina cheo chochote. Ilmradi tu nina "Suluhisho la Kudumu" ambalo ni kuwa na nchi moja ya Wapalestina na Wayahudi, wakiishi kama majirani na ndugu wa asili moja ya Ibrahimu (kinasaba na kieneo).

Jina la nchi liwe Middle East au Ibrahimu au lingine lolote litakalokubalika na kuwafaa wote.

Hakuna mpalestina au mmyahudi hata mmoja mwenye asili ya Afrika, Asia, Ulaya au Amerika - wote ni wa Mashariki ya Kati kutoka mtoni (Jordani) hadi baharini (Mediterranean) - ni ndugu hawa.

Tuanze sasa, leo hii; kupanda mbegu ya kupendana wao kwa wao, na kwa watoto, na watoto wa watoto wao; si kuchukiana pasina mwisho.

Adha, tuelewe kuwa dunia nzima kwa sasa tumechanganya sana damu kwa watu wengi, na tunaishi kila mahali kwa amani, japo bado kuna ubaguzi tunaoendelea kupambana nao. Kuna Wayahudi wenye asili ya Afrika na Waafrika wenye asili ya Kiyahudi (wengi wao wako Ethiopia).

Kwa wasiojua, kuna Wayahudi waliooa Wapalestina, na Wapalestina waliooa Wayahudi akiwemo hayati Yasser Arafat! Nina mdogo wangu wa karibu mno ambaye ana damu ya Uafrika (Nigeria na Afrika Mashariki), Uarabu na Uyahudi; lakini anaishi Ujerumani. Haungi mkono vita yoyote, uonevu wowote au dhuluma yoyote, isipokuwa haki na maridhiano.

Afterall, everyone is a rightful citizen anywhere in this world. And the reality is that, we don't own this world, but it owns us - it swallows all of us! We are just passersby.

Tupendane, tuheshimiane, tujaliane na tuishi popote duniani pasina kubaguana. Tofauti zetu za rangi, imani za kidini, uasili au hali ya maisha si kitu, bali utu wetu ndiyo utuunganishe.

Pia soma:Suluhisho la vita ya Mashariki ya kati ni kwa Wapalestina kutulia au kuhama kabisa pale Gaza
 
Ngozi nyeusi sisi ni wanafiki na wenyewe roho nyeusi mno.

Sisi mabingwa wa uchawa na kuji pendekeza kwa ngozi nyeupe, sijui ili tuonekane tuna jua !!?

Nchini kwako Kuna utekaji, watu Wana potea ila hukemei.
Then suddenly you get some guts to talk about people who don't even know your presence in this world.

Watu Wana kufa kwa ajili ya vita hapo congo, tigray.
Njaa zina wapiga wasomali, na wakimbizi ila hatusemi kitu.

Bro wake up, if not for yourself, basi pambania familia yako.
 
Wale walipigana wakiwa tumboni kwa mama yao na wanazaliwa mmoja wa pili kutoka kamvuta mwingine mguu, hilo mbungi ataituliza Yesu akirudi maana mazayuni wanaandaa njia ya anti christ ndio maana unaona hoja yao ni kubomoa msikiti na wanasema wanaenda kujenga sinagogi hii sio vita ardhi ni dhidi ya Uislam
Kwa kua sisi tunampinga dajjal. Wao wanaandaa makazi we hujulizi kwann makao makuu ya ushoga yako hapo?
Dhambi ambayo hata shetani anajua ndio itakayo waangamiza wengi na ni chukizo kwa Mungu lakini kwa shetani ni mtaji yeye anashikilia hapo anataka Antichrist akute watu wake wako tayari
 
Ngozi nyeusi sisi ni wanafiki na wenyewe roho nyeusi mno.

Sisi mabingwa wa uchawa na kuji pendekeza kwa ngozi nyeupe, sijui ili tuonekane tuna jua !!?

Nchini kwako Kuna utekaji, watu Wana potea ila hukemei.
Then suddenly you get some guts to talk about people who don't even know your presence in this world.

Watu Wana kufa kwa ajili ya vita hapo congo, tigray.
Njaa zina wapiga wasomali, na wakimbizi ila hatusemi kitu.

Bro wake up, if not for yourself, basi pambania familia yako.
Labda hujawahi kunisikia kupitia vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa. Nimekemea sana uovu, dhuluma na ukatili unaotokea nchini mwetu na Afrika nzima kwa miaka mingi. Kwa wanaonisikia mara kwa mara, hususan kupitia Sauti ya Ujerumani (DW), wanaujua msimamo wangu na maoni yangu ya kutatua migogoro yetu barani Afrika na nje ya Afrika.

Kama hutojali, nipe mawasiliano yako nikutumie maoni yangu (audio clips) nikipendekeza suluhisho la vita nchini DRC na Ethiopia (jimbo la Tigray). Napenda sana kuwa mpatanishi.
 
Mara kadhaa nimewahi kushiriki na naendelea kushiriki kutoa maoni ya kusuluhisha mgogoro mkongwe na mgumu mno wa Wayahudi na Wapalestina...
Hili la kuwa nchi moja ndio wayahudi wanaliogopa mno, wanafahamu fika namna Wapalestina wanavyozidi kuongezeka kupita wao maana yake wakiwa nchi moja hawa walio wengi ndio watapata sauti kubwa zaidi ya kufanya maamuzi (rejea utawala wa makaburu na ANC kule bondeni baada ya mwaka 1994).

Siku Marekani ikibadilisha sera zake za kuibeba Israel huenda Palestine ikawa nchi.
 
Mara kadhaa nimewahi kushiriki na naendelea kushiriki kutoa maoni ya kusuluhisha mgogoro mkongwe na mgumu mno wa Wayahudi na Wapalestina.

Kwa ujasiri mkubwa kabisa, nisisitize kuwa nakusudia na niko tayari kabisa kusuluhisha mgogoro huu kwa niaba ya Afrika na Waafrika wote, hata kama sina cheo chochote. Ilmradi tu nina "Suluhisho la Kudumu" ambalo ni kuwa na nchi moja ya Wapalestina na Wayahudi, wakiishi kama majirani na ndugu wa asili moja ya Ibrahimu (kinasaba na kieneo).

Jina la nchi liwe Middle East au Ibrahimu au lingine lolote litakalokubalika na kuwafaa wote.

Hakuna mpalestina au mmyahudi hata mmoja mwenye asili ya Afrika, Asia, Ulaya au Amerika - wote ni wa Mashariki ya Kati kutoka mtoni (Jordani) hadi baharini (Mediterranean) - ni ndugu hawa.

Tuanze sasa, leo hii; kupanda mbegu ya kupendana wao kwa wao, na kwa watoto, na watoto wa watoto wao; si kuchukiana pasina mwisho.

Adha, tuelewe kuwa dunia nzima kwa sasa tumechanganya sana damu kwa watu wengi, na tunaishi kila mahali kwa amani, japo bado kuna ubaguzi tunaoendelea kupambana nao. Kuna Wayahudi wenye asili ya Afrika na Waafrika wenye asili ya Kiyahudi (wengi wao wako Ethiopia).

Kwa wasiojua, kuna Wayahudi waliooa Wapalestina, na Wapalestina waliooa Wayahudi akiwemo hayati Yasser Arafat! Nina mdogo wangu wa karibu mno ambaye ana damu ya Uafrika (Nigeria na Afrika Mashariki), Uarabu na Uyahudi; lakini anaishi Ujerumani. Haungi mkono vita yoyote, uonevu wowote au dhuluma yoyote, isipokuwa haki na maridhiano.

Afterall, everyone is a rightful citizen anywhere in this world. And the reality is that, we don't own this world, but it owns us - it swallows all of us! We are just passersby.

Tupendane, tuheshimiane, tujaliane na tuishi popote duniani pasina kubaguana. Tofauti zetu za rangi, imani za kidini, uasili au hali ya maisha si kitu, bali utu wetu ndiyo utuunganishe.

Pia soma:Suluhisho la vita ya Mashariki ya kati ni kwa Wapalestina kutulia au kuhama kabisa pale Gaza
Brother heshima yako kwanza na habari za siku tele. Nilsson andiko lako kwa umakini mkubwa ni andiko bora sana Lakini bro wale ndugu hawatakaa wapatane moja kwa moja mpaka kiama

Sijui ni kwanini ni rahisi mno kupatanisha wasio ndugu kuliko walio ndugu
 
Mara kadhaa nimewahi kushiriki na naendelea kushiriki kutoa maoni ya kusuluhisha mgogoro mkongwe na mgumu mno wa Wayahudi na Wapalestina.

Kwa ujasiri mkubwa kabisa, nisisitize kuwa nakusudia na niko tayari kabisa kusuluhisha mgogoro huu kwa niaba ya Afrika na Waafrika wote, hata kama sina cheo chochote. Ilmradi tu nina "Suluhisho la Kudumu" ambalo ni kuwa na nchi moja ya Wapalestina na Wayahudi, wakiishi kama majirani na ndugu wa asili moja ya Ibrahimu (kinasaba na kieneo).

Jina la nchi liwe Middle East au Ibrahimu au lingine lolote litakalokubalika na kuwafaa wote.

Hakuna mpalestina au mmyahudi hata mmoja mwenye asili ya Afrika, Asia, Ulaya au Amerika - wote ni wa Mashariki ya Kati kutoka mtoni (Jordani) hadi baharini (Mediterranean) - ni ndugu hawa.

Tuanze sasa, leo hii; kupanda mbegu ya kupendana wao kwa wao, na kwa watoto, na watoto wa watoto wao; si kuchukiana pasina mwisho.

Adha, tuelewe kuwa dunia nzima kwa sasa tumechanganya sana damu kwa watu wengi, na tunaishi kila mahali kwa amani, japo bado kuna ubaguzi tunaoendelea kupambana nao. Kuna Wayahudi wenye asili ya Afrika na Waafrika wenye asili ya Kiyahudi (wengi wao wako Ethiopia).

Kwa wasiojua, kuna Wayahudi waliooa Wapalestina, na Wapalestina waliooa Wayahudi akiwemo hayati Yasser Arafat! Nina mdogo wangu wa karibu mno ambaye ana damu ya Uafrika (Nigeria na Afrika Mashariki), Uarabu na Uyahudi; lakini anaishi Ujerumani. Haungi mkono vita yoyote, uonevu wowote au dhuluma yoyote, isipokuwa haki na maridhiano.

Afterall, everyone is a rightful citizen anywhere in this world. And the reality is that, we don't own this world, but it owns us - it swallows all of us! We are just passersby.

Tupendane, tuheshimiane, tujaliane na tuishi popote duniani pasina kubaguana. Tofauti zetu za rangi, imani za kidini, uasili au hali ya maisha si kitu, bali utu wetu ndiyo utuunganishe.

Pia soma:Suluhisho la vita ya Mashariki ya kati ni kwa Wapalestina kutulia au kuhama kabisa pale Gaza
Brother heshima yako kwanza na habari za siku tele. Nilsson andiko lako kwa umakini mkubwa ni andiko bora sana Lakini bro wale ndugu hawatakaa wapatane moja kwa moja mpaka kiama

Sijui ni kwanini ni rahisi mno kupatanisha wasio ndugu kuliko walio ndugu
 
Mara kadhaa nimewahi kushiriki na naendelea kushiriki kutoa maoni ya kusuluhisha mgogoro mkongwe na mgumu mno wa Wayahudi na Wapalestina.

Kwa ujasiri mkubwa kabisa, nisisitize kuwa nakusudia na niko tayari kabisa kusuluhisha mgogoro huu kwa niaba ya Afrika na Waafrika wote, hata kama sina cheo chochote. Ilmradi tu nina "Suluhisho la Kudumu" ambalo ni kuwa na nchi moja ya Wapalestina na Wayahudi, wakiishi kama majirani na ndugu wa asili moja ya Ibrahimu (kinasaba na kieneo).

Jina la nchi liwe Middle East au Ibrahimu au lingine lolote litakalokubalika na kuwafaa wote.

Hakuna mpalestina au mmyahudi hata mmoja mwenye asili ya Afrika, Asia, Ulaya au Amerika - wote ni wa Mashariki ya Kati kutoka mtoni (Jordani) hadi baharini (Mediterranean) - ni ndugu hawa.

Tuanze sasa, leo hii; kupanda mbegu ya kupendana wao kwa wao, na kwa watoto, na watoto wa watoto wao; si kuchukiana pasina mwisho.

Adha, tuelewe kuwa dunia nzima kwa sasa tumechanganya sana damu kwa watu wengi, na tunaishi kila mahali kwa amani, japo bado kuna ubaguzi tunaoendelea kupambana nao. Kuna Wayahudi wenye asili ya Afrika na Waafrika wenye asili ya Kiyahudi (wengi wao wako Ethiopia).

Kwa wasiojua, kuna Wayahudi waliooa Wapalestina, na Wapalestina waliooa Wayahudi akiwemo hayati Yasser Arafat! Nina mdogo wangu wa karibu mno ambaye ana damu ya Uafrika (Nigeria na Afrika Mashariki), Uarabu na Uyahudi; lakini anaishi Ujerumani. Haungi mkono vita yoyote, uonevu wowote au dhuluma yoyote, isipokuwa haki na maridhiano.

Afterall, everyone is a rightful citizen anywhere in this world. And the reality is that, we don't own this world, but it owns us - it swallows all of us! We are just passersby.

Tupendane, tuheshimiane, tujaliane na tuishi popote duniani pasina kubaguana. Tofauti zetu za rangi, imani za kidini, uasili au hali ya maisha si kitu, bali utu wetu ndiyo utuunganishe.

Pia soma:Suluhisho la vita ya Mashariki ya kati ni kwa Wapalestina kutulia au kuhama kabisa pale Gaza
Brother heshima yako kwanza na habari za siku tele. Nilsson andiko lako kwa umakini mkubwa ni andiko bora sana Lakini bro wale ndugu hawatakaa wapatane moja kwa moja mpaka kiama

Sijui ni kwanini ni rahisi mno kupatanisha wasio ndugu kuliko walio ndugu
 
Mara kadhaa nimewahi kushiriki na naendelea kushiriki kutoa maoni ya kusuluhisha mgogoro mkongwe na mgumu mno wa Wayahudi na Wapalestina...
Ukitaka kuusuluhisha huu mgogoro kuwa mpinga Kristo. Tafuta na nabii wa uongo wa kiyahudi. Nend kwa Shetani akujaze nguvu za kishetani. Uje duniani ukiwa na nguvu za kishetani hapo watakuamini. Ten uanzishe na dini moja na serikali moja.

Maana yangu ni hii: atakayeweza kuusuluhisha mgogoro wa middle East ni mpinga Kristo pekee atakayejifanya mkombozi wa ulimwengu. Over
 
Wale walipigana wakiwa tumboni kwa mama yao na wanazaliwa mmoja wa pili kutoka kamvuta mwingine mguu, hilo mbungi ataituliza Yesu akirudi maana mazayuni wanaandaa njia ya anti christ...
Yakobo na Esau ni watoto mapacha wa Isaka mama yao Rebeka, wakati Isaka (uzao wa Wayahudi) na Ishmaeli (uzao wa Waarabu) ni watoto wa Ibrahimu ila mama tofauti.
 
Ukitaka kuusuluhisha huu mgogoro kuwa mpinga Kristo. Tafuta na nabii wa uongo wa kiyahudi. Nend kwa Shetani akujaze nguvu za kishetani. Uje duniani ukiwa na nguvu za kishetani hapo watakuamini. Ten uanzishe na dini moja na serikali moja.


Maana yangu ni hii: atakayeweza kuusuluhisha mgogoro wa middle East ni mpinga Kristo pekee atakayejifanya mkombozi wa ulimwengu. Over
Umeongelea unabii wa kibiblia, na nakubaliana kabisa nawe. Ila kamwe sitakuja kuwa mpingo Kristo bali ni mfuasi wake mtiifu.
 
Brother heshima yako kwanza na habari za siku tele. Nilsson andiko lako kwa umakini mkubwa ni andiko bora sana Lakini bro wale ndugu hawatakaa wapatane moja kwa moja mpaka kiama

Sijui ni kwanini ni rahisi mno kupatanisha wasio ndugu kuliko walio ndugu
Nakukumbuka sana mdogo wangu kwa posts zako murua kabisa. Unatuelimisha sana kupitia jukwaa hili. Ni kweli, kupatanisha ndugu ni kugumu mno kuliko watu baki.

Lakini tukifaulu kupenyeza umuhimu wa mbegu ya upendo miongoni mwa ndugu, suluhisho lake huwa la kudumu. Tatizo ni pale wapatanishi wanapolalia upande kama ilivyo kwa nchi nyingi zinavyolalia upande, ama wa Wapalestina au Wayahudi.
 
Mara kadhaa nimewahi kushiriki na naendelea kushiriki kutoa maoni ya kusuluhisha mgogoro mkongwe na mgumu mno wa Wayahudi na Wapalestina.

Kwa ujasiri mkubwa kabisa, nisisitize kuwa nakusudia na niko tayari kabisa kusuluhisha mgogoro huu kwa niaba ya Afrika na Waafrika wote, hata kama sina cheo chochote. Ilmradi tu nina "Suluhisho la Kudumu" ambalo ni kuwa na nchi moja ya Wapalestina na Wayahudi, wakiishi kama majirani na ndugu wa asili moja ya Ibrahimu (kinasaba na kieneo).

Jina la nchi liwe Middle East au Ibrahimu au lingine lolote litakalokubalika na kuwafaa wote.

Hakuna mpalestina au mmyahudi hata mmoja mwenye asili ya Afrika, Asia, Ulaya au Amerika - wote ni wa Mashariki ya Kati kutoka mtoni (Jordani) hadi baharini (Mediterranean) - ni ndugu hawa.

Tuanze sasa, leo hii; kupanda mbegu ya kupendana wao kwa wao, na kwa watoto, na watoto wa watoto wao; si kuchukiana pasina mwisho.

Adha, tuelewe kuwa dunia nzima kwa sasa tumechanganya sana damu kwa watu wengi, na tunaishi kila mahali kwa amani, japo bado kuna ubaguzi tunaoendelea kupambana nao. Kuna Wayahudi wenye asili ya Afrika na Waafrika wenye asili ya Kiyahudi (wengi wao wako Ethiopia).

Kwa wasiojua, kuna Wayahudi waliooa Wapalestina, na Wapalestina waliooa Wayahudi akiwemo hayati Yasser Arafat! Nina mdogo wangu wa karibu mno ambaye ana damu ya Uafrika (Nigeria na Afrika Mashariki), Uarabu na Uyahudi; lakini anaishi Ujerumani. Haungi mkono vita yoyote, uonevu wowote au dhuluma yoyote, isipokuwa haki na maridhiano.

Afterall, everyone is a rightful citizen anywhere in this world. And the reality is that, we don't own this world, but it owns us - it swallows all of us! We are just passersby.

Tupendane, tuheshimiane, tujaliane na tuishi popote duniani pasina kubaguana. Tofauti zetu za rangi, imani za kidini, uasili au hali ya maisha si kitu, bali utu wetu ndiyo utuunganishe.

Pia soma:Suluhisho la vita ya Mashariki ya kati ni kwa Wapalestina kutulia au kuhama kabisa pale Gaza
Unaweza ukawashuruhisha watu waliomuua mwana wa mungu wa pekee? Jiulize Yesu alikuwa na tatizo gani mpaka akasulubiwa na kuuwawa?
 
Back
Top Bottom