Kusudio langu la kupata suluhisho la kudumu la mgogoro wa wapalestina na wayahudi

Umeshindwa kushauri CCM ikakusikiliza ndio Netanyahu akusikilize πŸ˜… πŸ˜…

Kwanza itakuwa humjui waziri wa Ulinzi wa Israel alivo na roho ngumu
 
Unaweza ukawashuruhisha watu waliomuua mwana wa mungu wa pekee? Jiulize Yesu alikuwa na tatizo gani mpaka akasulubiwa na kuuwawa?
Si wote waliohusika kumuua. Walikuwepo Wayahudi wengi tu waliomwamini na kumfuata, na hata sasa wapo.
 
Umeshindwa kushauri CCM ikakusikiliza ndio Netanyahu akusikilize πŸ˜… πŸ˜…

Kwanza itakuwa humjui waziri wa Ulinzi wa Israel alivo na roho ngumu
Namjua sana, Yoav Gallant. Sijawahi kushindwa kuwashauri, labda wao wameshindwa kunisikiliza na kunielewa. Nafanya vivyo hivyo kwa washindani (mnaita wapinzani).
 
Shida ni kuna watu hawataki mgogoro uishe ...
Kuna watu wanafaida sana na hivyo vita mfano Hamas viongozi wao matajiri haswa mfano yule aliuwawa alikuwa bilionea na alikuwa anaishi maisha ya kifahari mno...
 
Shida ni kuna watu hawataki mgogoro uishe ...
Kuna watu wanafaida sana na hivyo vita mfano Hamas viongozi wao matajiri haswa mfano yule aliuwawa alikuwa bilionea na alikuwa anaishi maisha ya kifahari mno...
Uko sahihi sana. Unamwongelea Ismail Haniyeh aliyeuwawa Teheran nchini Iran. Aliyechukua nafasi yake sasa ni Yahya Sinwar
 
Mkuu huwa nakusikiliza sana DW kuna watu hawakujui watakujibu kwa kejeli na dharau usife moyo endelea hivohivo
 
Labda unaongelea Watu wa Palestina ya Sinza/Nzese.
Sio Wapalestina tu ila ata Waisaeli hawawezi kukubali kuwa na Taifa moja maana Wapalestina wengi ni wakimbizi huko nje kitendo cha kuwa Taifa moja manaake watarudi kwao na wale wanazaliana sana hivo population yao itawameza wayahudi kitu ambacho kinatafanya wayahudi wakose nafasi za uongozi.

Kama kuwa mataifa mawili tu yaani Palestina ipate uhuru wake Israel haitaki sembuse kuwa Taifa moja?
 
Hilo nalo neno!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…