Kusuka kwa Wamasai Basi ....

Kusuka kwa Wamasai Basi ....

As I said, that was deliberate move - actually nafikiri kuna baadhi ya kina mama wanao pedelea kuguswa guswa na madudu hayo wakati wanasukwa - mambo ya "kisaikolojia" hayo - sioni sababu nyingine ya wamasai hao ku-behave kivile walisha wasoma some weakness za baadhi ya akina mama ndio maana wanakuwa na ubavu wa kuendelea na tabia hiyo.

Siku moja mama fulani aliwahi kunipa kisa kimoja, alisema kuna Mmasai fulani katika mazungumzo aliwahi kumwambia kwamba unajua ni rahisi sana mwanamke kujikuta yuko chini na asijue kilicho mtokea mpaka akajikuta katika hali ile, mama yule akasema nilimbishia mwishowe Mmasai akamwambia njoo usimame karibu na mimi - kule kumkaribia tu akajikuta yuko chini!! Anasema akumbuki vizuri kama alimgusa kwa mkono au mguu - hapa nazungumzia kisa, nataka nieleweke kwamba Wamasai hawana tabia za kijinga za kuwabaka wanawake au nini sijui, wanatumia mbinu tu.

Lakini hiyo nitabia mbaya wanachukua advantage na sio kila mtu atapenda,yani ile siku sijui ilikuwaje sababu kama kuna kitu
sipendi ni mwanamme kunigusagusa,kwanza sikua na amani pili walivyokua wanasogea sogea ndio wakanichefua kabisaaa
lakini nikosa langu,ningekataa mwanzo non of this ingetokea lakini nimesoma na sitorejea tena kufanya vile..
 
Habari Wana Chit-Chat,

Naomba kuuliza Wanawake wenzangu, Nilimuona Shogangu kasuka zile nywele za kimasai nikazipenda sanaa sasa nikasema niende na kwakweli sijasuka nna miaka kama 10 sababu mr Hataki This time nikamuomba akakubali baada ya miaka 10 ilikua kama bahati.

Kwakua nyewele zangu ndefu sikuhitaji rasta zakuongezea,haya shosti akanipitia J'pili tukaenda kufika macho yakanitoka kumbe wasusi wanaume wa kimasai nikamuliza mbona wanaume kasema ndio wanaojua wacha ushamba wako haya akaongea nao nikaanza kusukwa mmmmmhhh

Wamenizunguka Wamasai wa 5 sasa ule mkao wao yani wanakugusa na madudu yao huyu na wako busy kuongea kikwao sielewi wanasema nini,shoga nae hayupo,mbaya zaid vikoi vyao vinanuka hatari, nilistahmili kama nusu saa simu yangu ilipoita nikawambia waniache, nilipomaliza simu nikawambia ntarudi baadae nikatoa elfu 20 nikasema nakuja waendele na mteja mwengine mpaka nikirejea sikurejea tenaa.

Sasa niulize wadada mnaosuka ivi hii imenitokea mimi tuu au hawa wamasai ndio TABIA YAO?


Umenichekesha kukimbia Dudu mwaya ila wewe bila Shaka hautoki nje kabisa maana Kwa mkazi wa dar tena mwanamama hadi Leo usijue Kama wamasai ndio wasusi basi wewe unajifungia ndani miaka yote pili wamasai wanavaa vikoi bila Shaka pia wewe Sio mtanzania

Pole na kuguswa na madudu Yao ila nasikia ni the best Dudu kupita makabila yote tanzania ahahahhhah hahahahahh
 

Nilikwambia kuhusu suala la sakolojia, fanya psychoanalysis ya majibu ya WHITEHORSE what does that tell you about her/his persona? Mark you simsemi kwa nia mbaya hapa tunaelimishana tu. Wenda ikawa alikuwa anatania au nini sijui - lakini ndio hivyo tena - now you know why Wamasai wasusi behaves theway they DO wana washabeki ndio maana.
 
Nilikwambia kuhusu suala la sakolojia, fanya psychoanalysis ya majibu ya WHITEHORSE what does that tell you about her/his persona? Mark you simsemi kwa nia mbaya hapa tunaelimishana tu. Wenda ikawa alikuwa anatania au nini sijui - lakini ndio hivyo tena - now you know why Wamasai wasusi behaves theway they DO wana washabeki ndio maana.
Inshallah...
 
Aha, basi nimeshapafahamu maana ata mimi zamani nilikuaga mmasai ila nilikua sisuki watu, si ni pale upande wa kushoto kama unataka Bungoni kuja Sokoni ilala??
hahaha mdau na ww ulikuaga masai sasa kama ulikua usuki watu ulikua unafanya kazi gani y
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


hatari sana
 
Labda wanafanya makusudi, inakuwaje wakuguse kiasa cha wewe kujua/kadria urefu wa madudu yao!!

Kwani hawavai underwear au kaptura au kuyafungia kwenye kibuyu kama wanaume wa Papua NewGuinea!
Hapa mwenyewe najiuliza... Alikaa mkao upi akisukwa mpaka ivyo vi dudu vimguse guse... Maana mpaka kuitwa vidudu ni vingi basi vilimsonga!
 
Habari Wana Chit-Chat,

Naomba kuuliza Wanawake wenzangu, Nilimuona Shogangu kasuka zile nywele za kimasai nikazipenda sanaa sasa nikasema niende na kwakweli sijasuka nna miaka kama 10 sababu mr Hataki This time nikamuomba akakubali baada ya miaka 10 ilikua kama bahati.

Kwakua nyewele zangu ndefu sikuhitaji rasta zakuongezea,haya shosti akanipitia J'pili tukaenda kufika macho yakanitoka kumbe wasusi wanaume wa kimasai nikamuliza mbona wanaume kasema ndio wanaojua wacha ushamba wako haya akaongea nao nikaanza kusukwa mmmmmhhh

Wamenizunguka Wamasai wa 5 sasa ule mkao wao yani wanakugusa na madudu yao huyu na wako busy kuongea kikwao sielewi wanasema nini,shoga nae hayupo,mbaya zaid vikoi vyao vinanuka hatari, nilistahmili kama nusu saa simu yangu ilipoita nikawambia waniache, nilipomaliza simu nikawambia ntarudi baadae nikatoa elfu 20 nikasema nakuja waendele na mteja mwengine mpaka nikirejea sikurejea tenaa.

Sasa niulize wadada mnaosuka ivi hii imenitokea mimi tuu au hawa wamasai ndio TABIA YAO?
yan wew pale vlivyotoka na simu unawarudia na spray yako ya 5000, unawapulizia kama unaua mbu na rungu
 
Back
Top Bottom