NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,391
- Thread starter
- #101
As I said, that was deliberate move - actually nafikiri kuna baadhi ya kina mama wanao pedelea kuguswa guswa na madudu hayo wakati wanasukwa - mambo ya "kisaikolojia" hayo - sioni sababu nyingine ya wamasai hao ku-behave kivile walisha wasoma some weakness za baadhi ya akina mama ndio maana wanakuwa na ubavu wa kuendelea na tabia hiyo.
Siku moja mama fulani aliwahi kunipa kisa kimoja, alisema kuna Mmasai fulani katika mazungumzo aliwahi kumwambia kwamba unajua ni rahisi sana mwanamke kujikuta yuko chini na asijue kilicho mtokea mpaka akajikuta katika hali ile, mama yule akasema nilimbishia mwishowe Mmasai akamwambia njoo usimame karibu na mimi - kule kumkaribia tu akajikuta yuko chini!! Anasema akumbuki vizuri kama alimgusa kwa mkono au mguu - hapa nazungumzia kisa, nataka nieleweke kwamba Wamasai hawana tabia za kijinga za kuwabaka wanawake au nini sijui, wanatumia mbinu tu.
Lakini hiyo nitabia mbaya wanachukua advantage na sio kila mtu atapenda,yani ile siku sijui ilikuwaje sababu kama kuna kitu
sipendi ni mwanamme kunigusagusa,kwanza sikua na amani pili walivyokua wanasogea sogea ndio wakanichefua kabisaaa
lakini nikosa langu,ningekataa mwanzo non of this ingetokea lakini nimesoma na sitorejea tena kufanya vile..