Tafadhali tuheshimiane, tunatukuza utamaduni wetu... msidhani wote ni Wamasai wa Bagamoyo!Halafu hawavai suruali wala chupi, yanakuwa kama ya ng,ombe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafadhali tuheshimiane, tunatukuza utamaduni wetu... msidhani wote ni Wamasai wa Bagamoyo!Halafu hawavai suruali wala chupi, yanakuwa kama ya ng,ombe.
niseme wamefanya kusudi manake sikuona sababu yakunigusa na hata kama angenigusa basi sio kwa style ile,that was too much..Labda wanafanya makusudi, inakuwaje wakuguse kiasa cha wewe kujua/kadria urefu wa madudu yao!!
Kwani hawavai underwear au kaptura au kuyafungia kwenye kibuyu kama wanaume wa Papua NewGuinea!
unanikera ivoo....sijapenda tabia yao kwahisani yako usinukumbushe sana...Hili la madudu kugusagusa mbona umelirudia rudia sana?! Yalikuwa yanagusaga wapi kwani?
sirudi wala hata njia sipitii staki hata kuwaona sura zao na balaa lao wanaume wazima hawana adabu hata zakuvaa nguo..We nawe, waogopa madudu utafikiri katoto ka darasa la pili!! Hebu kasuke rasta za kimasai bhana.
Una bahati walikuwa wanakupigia hesabu kikwao...lazima wangekumegaYani nilikua naona dhiki nafsi yangu nilitamani kulia na ile harufu,halafu wanasema kikwao sifahamu
basi tafrani .....
Yalikufedhehesha hayo madudu?au yalikuwa yanakunyegesha?mmmm shosti Aibu naanzaje kusema maneno hayo? kua madudu yenu yafungeni,tena yanagusaaa marefuuuuuu ptuuuuu!!!
staki hata kukumbuka..
sidhani kama sababau ni hiyo ila yeye hapendi niweke nywele bandia kucha,sijui rangi ya kucha,reason yakeNadhani kabla hujaruhusiwa ulikuwa unamwona Mr. Wako mnoko... na inawezekana aliyajuwa hayo kabla...
Kuna wakati huwa mnapewa ruhusa ili mkajuwe sababu ya kukatazwa... Mr asingeweza kutamka utaguswa na ‘’madudu‘’maana ungeona huo ni wivu tu
Duu asavali ulikimbia, maana lingeingia je?harufu ningestahmili sababau wao nibinadamu lakini yale madudu kunigusa gusa mie mmmmm,halafu sasa ukisogea huku
liko ukirudi nyuma lipo,pembeni jengine linagusa bega yani it was BAD....
jamani mbona unanichekesha hadi watu wananishangaa hapa kibaruani, maana wanaona ninacheka tu na PC hahahahahahha jamani mwe! watu mna mambo, ahsante kwa kuitengeneza siku yangu, kwakwakwakwakwaduh ata mi nisinge himili ile harufu huwaga wawili au 3 sas we 5 duh, alaf hayo madudu yao si unawaambia ukwel tu wayabane yanakuboa??? kuw wazi,.
Itakua Mwenge labda.. .Wapi hiyo?
LOOOOOOOO Yasin yao...wataniona kama chongo ya mkwe wao..Una bahati walikuwa wanakupigia hesabu kikwao...lazima wangekumega
Hiki umeongea hapa ni kiswahili[emoji15]LOOOOOOOO Yasin yao...wataniona kama chongo ya mkwe wao..
sio Mwenge,sie tulitokea Machinga Complex ilala tujakaja mpaka kituo i think cha Amana hospital kuna sehemu sijuiItakua Mwenge labda.. .
Aha, basi nimeshapafahamu maana ata mimi zamani nilikuaga mmasai ila nilikua sisuki watu, si ni pale upande wa kushoto kama unataka Bungoni kuja Sokoni ilala??sio Mwenge,sie tulitokea Machinga Complex ilala tujakaja mpaka kituo i think cha Amana hospital kuna sehemu sijui
jumba la CCM lile hata sikuliangalia wanakua nje hao wamasai wengiiiiiiiiii ,sorry sijui kuhafamisha manake hata sifiki sana
Tangu nimeacha kununua chips kwa barafaa mitaa ile sipiti naweza kaaa hata miaka miwili sijafika..
Ahahahahahaaa halafu wanauzaga dawa za zile nguvu....harufu ningestahmili sababau wao nibinadamu lakini yale madudu kunigusa gusa mie mmmmm,halafu sasa ukisogea huku
liko ukirudi nyuma lipo,pembeni jengine linagusa bega yani it was BAD....
khaswaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!... Zamani ulikuaa Mmasai na sasaivi umekuanani yailahi toba?Aha, basi nimeshapafahamu maana ata mimi zamani nilikuaga mmasai ila nilikua sisuki watu, si ni pale upande wa kushoto kama unataka Bungoni kuja Sokoni ilala??
Hata nimeangalia mwenzanguu nimeshuka ndani ya gari moja kwa moja nikaka pale kwenye kibaraza chao wao wakajaAhahahahahaaa halafu wanauzaga dawa za zile nguvu....
niseme wamefanya kusudi manake sikuona sababu yakunigusa na hata kama angenigusa basi sio kwa style ile,that was too much..