You're more likely to conceive a boy if... You have sex on the day of ovulation, as male sperm are thought to swim faster and reach the egg first. You reach orgasm before your partner, as this releases an alkaline fluid, thought to be more male-sperm friendly than the vagina's natural acidity.
Kwahiyo wanaume wanaopata watoto wa kiume asilimia kubwa hawawafikishi wake zao kileleni?
You're more likely to conceive a boy if... You have sex on the day of ovulation, as male sperm are thought to swim faster and reach the egg first. You reach orgasm before your partner, as this releases an alkaline fluid, thought to be more male-sperm friendly than the vagina's natural acidity.
Nilikuwa nasubiri kwa hamu comment km hii, ukiona mwanamke anazaa jinsia ya kike tu, problem ni ya mwanaume.Hahahah
Hivi mpaka karne hii kuna watu wanadhani waje zao ndio wanazaa wa kike tupu?????
Ndugu mwanaume ndio anayeamua jinsia ya mtoto. Pia timing ya "kufahamiana " nayo inachangia.
na mimi nimeelewa hvyo.na nilisha wahi kusikia kuwa kama ktk siku hyo mwanamke akiwahi ku fika keleleni inapelekea kutoa ute ambao unakuwa na acid hvyo kusababisha mbegu za kiume kufa
Inahitajika proof kisayansi maana kupata mtoto wa kiume ni kazi sana inahitajika sperm za kutosha na kuzirusha kwa speed ya hatari Ila wa kike hata ukimiminia kwa juu anapatikana.
✅Je wanawake wanaozaa mapacha wa kike na wa kiume Hiyo theory yake ita apply kweli?
Msiwe mmelewa, Msiwe na njaa, Msiwe wachovu...... Muwe fresh, hasa kwa mwanaume ili mbegu zake ziwe na nguvu ya kuogelea fasta. Kumbuka mbegu za kiume zinaogelea faster zaidi kuliko za kike
Mwanamke hana mbegu.
Unajua kusoma??
Ndio najuwa.
Mbegu (Sperms) zipo za kike na kiume yaani X na Y. Zile za kiume zinaogelea faster kuliko za kike, japo pia zinakufa fasta kuliko za kiume
Anymore questions?