hahahahahah lol! Sheikh MziziMkavu kumbe bado ni mkono wa sweta lol! halafu unataka assignment ya kuundoa mkono wa sweta unataka kumpa Mamndenyi lol!!!! asiee nimecheka sana....JF ni burudani ya aina yake.
Niko bomba Mamndenyi nawe uhali gani? Watoto wa MUJINI wanasema, Sheikh MziziMkavu "amekutunuku"
we acha tu
sijui kama sitavaa baibui mwaka huu
asante.
hahahahaha lol! Mamndenyi in baibui thanks to Sheikh MziziMkavu kwi kwi kwi kwi mie naomba picha ya kwanza ya Mamndenyi akiwa katinga ndani ya baibui nitumiwe mimi lol! 🙂🙂
Kuna doctor mmoja anaitwa doctor Juma pale kariakoo, sikumbuki mtaa gani tena, sijui swahili kama hivyo, anakata anaweka hiyo ring, hakuna haja ya kufunga bendeji tena, inapakaa dawa tu pakikauka basi ile ringi inatoka inakua safi. hebu jaribu kumuulizia huyo jamaa kama bado yupo.....nilisikia kuhusu kuvalisha ring kisha inaondoa sweta yenyewe,sijui kama niko sawa je unafahamu lolote juu ya hii ya kidigitali mkuu...
Wadau ni wakati gani muafaka wa kumtahiri mtoto. Ni Dr gani au hospitali ipi nzuri nimpeleke junior. nitakuwa Dar soon so ningependa madactari wa dar...
Gefu Uzi huu unaweza kukusaidia https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/456971-tohara-kwa-watoto-wa-kiume-wachanga.htmlWadau ni wakati gani muafaka wa kumtahiri mtoto. Ni Dr gani au hospitali ipi nzuri nimpeleke junior. nitakuwa Dar soon so ningependa madactari wa dar...