Nashon daniel.
Senior Member
- Jan 7, 2015
- 100
- 186
Habari Jf.
Mimi ni mfanyabiashara mdogo, mtaji wa 7m, nataka kuipanua biasha yangu ila mtaji wangu mdogo ni changamoto kubwa.
Nafikilia kujiunga na saccos ili niwe mwanacha niweze kukopa pesa kiasi kuendeleza biashara yangu.
Yeyote mwenye huwelewa juu ya taratibu za kujiunga saccos naomba msaada tafadhali. Niko Dar es salaam.
Best regards,
Mimi ni mfanyabiashara mdogo, mtaji wa 7m, nataka kuipanua biasha yangu ila mtaji wangu mdogo ni changamoto kubwa.
Nafikilia kujiunga na saccos ili niwe mwanacha niweze kukopa pesa kiasi kuendeleza biashara yangu.
Yeyote mwenye huwelewa juu ya taratibu za kujiunga saccos naomba msaada tafadhali. Niko Dar es salaam.
Best regards,