Kutakuwa na tatizo katika usahihishaji wa mtihani wa somo la Elimu ya Dini ya Kiislam Kidato cha Nne

Hilo somo liitwe Arabic tribe and taboo kwani maada za humo haziendani na Islam kwani wao wanafundisha kufa kwa ajili ya uisilamu na sio kuishi kwa ajili ya uisilamu. Watoto wangu watasoma Qur'an tu na sio miduni na majini
Mkuu umewahi kupita shule na kusoma hilo somo? Wew huwezi kuwa Muislamu, acha kuchafua imani za watu mkuu.
 
Mkuu umewahi kupita shule na kusoma hilo somo? Wew huwezi kuwa Muislamu, acha kuchafua imani za watu mkuu.
Nimesoma hilo somo na lipo kisiasa tu na tamaduni za ki asia. Mambo ya mule ni ya kawaida sana yenye umuhimu sana sana wamebadili misamiati tu. Stori za kumpwekesha Allah ni shahada ambayo hata madrasa tu tulifundishwa. Watoto wasome Qur'an na sio ngonjela na Masafu haihitaji kutetewa na hadithi wala Islamic Knowledge kwani yenyewe tu inajieleza na inaeleweka by Bakra
 
Mwamba una shida mahala sijui kama umeelewa mada!
 
Tatizo kubwa ndugu ni mentality zenu asilimia kubwa mnadhan mnaonewa Kwa kila kitu, ndgu waislam lazma waelewe elimu ni ufahamu na vitu vingi vinahitaji mwanfunzi apate ufahamu huo na akumbuke kuutumia, tatizo mlilonalo mmelazimisha sana watoto wengi kusoma Somo hilo pasipo kuandaa walimu Mahiri wa masomo hayo, Shule nyingi za sekondari zinafundishwa eti na mwalimu wa madrasaa kweli?? Mwalimu ambaye hajapita hata form four?? Walimu ambayo hawez kutafsir silabas kwenye ufundishaj utegemee upate mafanikio...

Tuwe waungwana mnahitaji kuwekeza mwenye hilo la kupta walimu bora na wenye ujuzi badla ya kuwachukua watu mitaan na kuwabrush kidgo den waende darasan.

Serikal imeacha kuwekeza mwenye hilo so taasisi za dini ndo zinatakiwa zijipambanue na uzur serikal imeruhusu.

Achen kulalamika na msiwalazimishe wanafunzi waislamu kusoma islamic knowlege Kama hawako tayri Hii inapekelea watu kufel na wanachukua Kwa Sababu tu ya kulazimishwa.
 
UZURI WANAOFANYA HIO MITIHANI NI VILAZA NI WANAFUNZ AMBAO AKILI ZAO NI NDOGO SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…