Mkuu umewahi kupita shule na kusoma hilo somo? Wew huwezi kuwa Muislamu, acha kuchafua imani za watu mkuu.Hilo somo liitwe Arabic tribe and taboo kwani maada za humo haziendani na Islam kwani wao wanafundisha kufa kwa ajili ya uisilamu na sio kuishi kwa ajili ya uisilamu. Watoto wangu watasoma Qur'an tu na sio miduni na majini
Nimesoma hilo somo na lipo kisiasa tu na tamaduni za ki asia. Mambo ya mule ni ya kawaida sana yenye umuhimu sana sana wamebadili misamiati tu. Stori za kumpwekesha Allah ni shahada ambayo hata madrasa tu tulifundishwa. Watoto wasome Qur'an na sio ngonjela na Masafu haihitaji kutetewa na hadithi wala Islamic Knowledge kwani yenyewe tu inajieleza na inaeleweka by BakraMkuu umewahi kupita shule na kusoma hilo somo? Wew huwezi kuwa Muislamu, acha kuchafua imani za watu mkuu.
Mwamba una shida mahala sijui kama umeelewa mada!Nimesoma hilo somo na lipo kisiasa tu na tamaduni za ki asia. Mambo ya mule ni ya kawaida sana yenye umuhimu sana sana wamebadili misamiati tu. Stori za kumpwekesha Allah ni shahada ambayo hata madrasa tu tulifundishwa. Watoto wasome Qur'an na sio ngonjela na Masafu haihitaji kutetewa na hadithi wala Islamic Knowledge kwani yenyewe tu inajieleza na inaeleweka by Bakra
Tatizo kubwa ndugu ni mentality zenu asilimia kubwa mnadhan mnaonewa Kwa kila kitu, ndgu waislam lazma waelewe elimu ni ufahamu na vitu vingi vinahitaji mwanfunzi apate ufahamu huo na akumbuke kuutumia, tatizo mlilonalo mmelazimisha sana watoto wengi kusoma Somo hilo pasipo kuandaa walimu Mahiri wa masomo hayo, Shule nyingi za sekondari zinafundishwa eti na mwalimu wa madrasaa kweli?? Mwalimu ambaye hajapita hata form four?? Walimu ambayo hawez kutafsir silabas kwenye ufundishaj utegemee upate mafanikio...Baraza la mitihani waangalie imekuwaje hakuna wastani mzuri katika somo la Elimu ya Dini ya Kiislam kwenye matokeo ya Kidato cha Nne?
Kuna walakini katika usahihishaji.
Serikali ifanye uchunguzi.
Ili ukweli ubainike. Kama ni watoto wote waliofanya somo hilo hawana uwezo wa kupata A tujue. Ripoti itolewe na iwe wazi kwa kila mtu kuisoma. Ili wazazi waondoa malalamiko yao baada ya kujua kwamba watoto wao hawana uwezo wa kufaulu grade A ya somo hilo.
Asante