Kutamalaki Demokrasia: CCM iwatie moyo Wanachama kuchukua fomu za Urais

Kutamalaki Demokrasia: CCM iwatie moyo Wanachama kuchukua fomu za Urais

Sio lazima wapitishwe, siyo lazima wapendekezwe. Ni muhimu ionekane demokrasia ipo na haiogopwi. Watu wasitishwe au kukatishwa tamaa. Kazi, sera, mitazamo na mafanikio yaliyosheheni ya Magufuli yanaonekana.

Kuna mwanaCCM mwingine anafikiri anaweza kufanya au kuongoza tofauti na bora kuliko Magufuli. Nani yuko au wote wanamezea mate ubunge tu? Au tuwasubiri 2024/2025 kwenye mnyukano wa karne?

Bashiru wahimize wanaotaka waje kuchukua fomu.
Hahahaha kwahio kikubwa ni "Ionekane kuwa Democrasia ipo"!! Hata kama haipo? Why faking wakati tunajua their true colors?
 
Halafu wewe mzee baadae utakuja na thread kuwa Chadema hakuna demokrasia hivi akili huanazisahau wapi nyie wazee? Unaonekna kabisa hufurahishwi ila unasema kiupole ingekua CDM povu kama lote.
Msukuma mwenzetu!!
 
Kweli ujinga na ushamba ni mzigo mzito
Hakuna tatizo kujifurahisha kama unaweza amini kuna mwendawazimu anaweza chukua form ya uraisi CCM.

Sio kwa wanachama wenzake tu watakaomshangaa bali watanzania ata wasio na vyama watamuona huyo mtu ni mchawi wa taifa.
 
Akimaliza kuwatisha ndani ya chama atahamia upinzani.

Yaani Magu atawakata hata wapinzani wake nje ya chama subirini mtaona
 
Sio lazima wapitishwe, siyo lazima wapendekezwe. Ni muhimu ionekane demokrasia ipo na haiogopwi. Watu wasitishwe au kukatishwa tamaa. Kazi, sera, mitazamo na mafanikio yaliyosheheni ya Magufuli yanaonekana.

Kuna mwanaCCM mwingine anafikiri anaweza kufanya au kuongoza tofauti na bora kuliko Magufuli. Nani yuko au wote wanamezea mate ubunge tu? Au tuwasubiri 2024/2025 kwenye mnyukano wa karne?

Bashiru wahimize wanaotaka waje kuchukua fomu.
Mkuu kwa nini wewe usichukue form? Au na wewe unasubiri kuhamasishwa?
 
VP hyo demokrasia mnayoitangaza?kwann wenye akili wasiwaone mazumbukuku?
Hakuna tatizo kujifurahisha kama unaweza amini kuna mwendawazimu anaweza chukua form ya uraisi CCM.

Sio kwa wanachama wenzake tu watakaomshangaa bali watanzania ata wasio na vyama watamuona huyo mtu ni mchawi wa taifa.
 
VP hyo demokrasia mnayoitangaza?kwann wenye akili wasiwaone mazumbukuku?
Ndio maana nikasema mpango wa CDM kujifanya kila mtu anachukua form wakati sio utaratibu wao wa kila siku wakidhani kuna wana CCM wataingia mkenge umebuma.



Dedication ☝to mwenyekiti na miss nani sijui ‘Muhudumu’ ongeza glass, wacha nilewe; nilewe tuu,
 
Kumbe nachat na poyoyo?am sorry lkn
Ndio maana nikasema mpango wa CDM kujifanya kila mtu anachukua form wakati sio utaratibu wao wa kila siku wakidhani kuna wana CCM wataingia mkenge umebuma.



Dedication [emoji121]to mwenyekiti ‘Muhudumu’ ongeza glass, wacha nilewe; nilewe tuu,
 
Sio lazima wapitishwe, siyo lazima wapendekezwe. Ni muhimu ionekane demokrasia ipo na haiogopwi. Watu wasitishwe au kukatishwa tamaa. Kazi, sera, mitazamo na mafanikio yaliyosheheni ya Magufuli yanaonekana.

Kuna mwanaCCM mwingine anafikiri anaweza kufanya au kuongoza tofauti na bora kuliko Magufuli. Nani yuko au wote wanamezea mate ubunge tu? Au tuwasubiri 2024/2025 kwenye mnyukano wa karne?

Bashiru wahimize wanaotaka waje kuchukua fomu.
FB_IMG_15925804148398179.jpg
 
Sio lazima wapitishwe, siyo lazima wapendekezwe. Ni muhimu ionekane demokrasia ipo na haiogopwi. Watu wasitishwe au kukatishwa tamaa. Kazi, sera, mitazamo na mafanikio yaliyosheheni ya Magufuli yanaonekana.

Kuna mwanaCCM mwingine anafikiri anaweza kufanya au kuongoza tofauti na bora kuliko Magufuli. Nani yuko au wote wanamezea mate ubunge tu? Au tuwasubiri 2024/2025 kwenye mnyukano wa karne?

Bashiru wahimize wanaotaka waje kuchukua fomu.
Mkuu, kwa Wakatoliki kuna kitu wanakiita "dhambi ya asili" ama "fumbo la imani". Kumendea nafasi ya uraisi kwa Rais anayewania tena nafasi hiyo, ni sawa kabisa na dhana hizo.
 
hata alipokuwa anagombea ubunge alikuwa akiwatisha wapinzani wake ili apite bila kupingwa.
hata alipomfukuza membe alikuwa anataka apite bila kupingwa
hata alipovuruga uchaguzi wa serikali za mitaa ilikuwa ni uoga wa kupingwa
magazeti na redio za Tanzania hazijadili lolote lifanywalo kinyume na serikali yake kwakuwa hataki kuoingwa
Alizuia bunge live kwa sababu hapendi kupingwa.
alizuia mikutano ya hadhara ya siasa kwakuwa hapendi kupingwa
Aliwahonga viongozi wa vyama vya wafanyakazi kwakuwa hapendi kupingwa.
KAMA KWELI MAGUFULI ANAPAMBANA NA RUSHWA NA SI KUWAONEA WATU NITAJIE FISADI YEYOTE ALIYEFUNGWA KWA HII AWAMU YAKE YA KWANZA
naskia uchaguzi aliowai kushinda kihalali ni wa mwaka 95 pekee
 
Hiki kitendawili hakina mteguaji kina mtegaji tu.
 
Halafu wewe mzee baadae utakuja na thread kuwa Chadema hakuna demokrasia hivi akili huanazisahau wapi nyie wazee? Unaonekna kabisa hufurahishwi ila unasema kiupole ingekua CDM povu kama lote.

Mkuu mnafiki ndio alivyo, anajua fika jamaa yake anaharibu, hivyo ili auhadae umma, wangalau na yeye aweze kuanzisha mada hapa jukwaani kwa amani, ndio anapendekeza hilo igizo ili apumue.
 
Sio lazima wapitishwe, siyo lazima wapendekezwe. Ni muhimu ionekane demokrasia ipo na haiogopwi. Watu wasitishwe au kukatishwa tamaa. Kazi, sera, mitazamo na mafanikio yaliyosheheni ya Magufuli yanaonekana.

Kuna mwanaCCM mwingine anafikiri anaweza kufanya au kuongoza tofauti na bora kuliko Magufuli. Nani yuko au wote wanamezea mate ubunge tu? Au tuwasubiri 2024/2025 kwenye mnyukano wa karne?

Bashiru wahimize wanaotaka waje kuchukua fomu.
Unataka Demokrasia ya kweli au Demokrasia ya maigizo Ndugu..?!

Afterall Magufuli kafanya nini remarkable??

Labda kukimbizana na Wapinzani,kuteka wanaompinga na kukamata na kubambikia kesi wanaompinga.

Mtu anafikia mpaka hatua ya kupiga risasi na kutaka kumuuwa Lissu??

Yupo wapi Kanguye, yupo wapi Azory? Ben Saanane je? Mawazo alifanywa nini mchana kweupe??

Muuwaji mkubwa na alaaniwe huyo.
 
Back
Top Bottom