Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka mmiliki wa chama augue preshaSio lazima wapitishwe, siyo lazima wapendekezwe. Ni muhimu ionekane demokrasia ipo na haiogopwi. Watu wasitishwe au kukatishwa tamaa. Kazi, sera, mitazamo na mafanikio yaliyosheheni ya Magufuli yanaonekana.
Kuna mwanaCCM mwingine anafikiri anaweza kufanya au kuongoza tofauti na bora kuliko Magufuli. Nani yuko au wote wanamezea mate ubunge tu? Au tuwasubiri 2024/2025 kwenye mnyukano wa karne?
Bashiru wahimize wanaotaka waje kuchukua fomu.
Ombeni upinzani wawape rim.Ina maana hata sumayi ataki fomuForm ilikiwa moja na mbaya zaidi printer yetu imepata changamoto pia karatasi hizi ni special zimetuishia!!