Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh! Pole. hilo ni tatizo dogo. Nina dawa ya hilo tatizo. nimewahi kuwasaidia watu wenye tatizo kama lako na wakafanikiwa. Ni pm tu.Habarini za Asubuhi Madaktari na Washauri wa Jukwaa Hili.
Naomba mnisaidie kwani ninasumbuliwa sana na Ashki za kujaamiana.
Tatizo hili lilinianza takribani miaka kama 3 iliyopita baada ya kutumia vidonge vya kupunguza unene.
Dawa hizo nilizinunua toka kwa rafiki yangu mmoja ambae aliniambia alitumiwa na kaka yake aliyekuwa Thailand.
Vina rangi ya kijani kibichi na muundo wake ni kama kidonge cha Ampicilin. Ni kwamba vilinisaidia kwani nilipungua ila sasa ukaibuka ugonjwa huu.
Naomba mwenye kufahamu tiba anisaidie kwa maana naadhirika mjini hapa.
Hiyo ndio njia sahihi ninayoweza kumsaidia ikiwa mengineyo yatashindikana. Ha Ha ha! Wee Kaka Shkamoo! Lol! Yaani suluhisho lako limelenga maeneo yote.
Nami natatizo kama lako ni pm tuwe tunasaidiana kupunguza hayo makitu tusiaibike bure babyHabarini za Asubuhi Madaktari na Washauri wa Jukwaa Hili.
Naomba mnisaidie kwani ninasumbuliwa sana na Ashki za kujaamiana.
Tatizo hili lilinianza takribani miaka kama 3 iliyopita baada ya kutumia vidonge vya kupunguza unene.
Dawa hizo nilizinunua toka kwa rafiki yangu mmoja ambae aliniambia alitumiwa na kaka yake aliyekuwa Thailand.
Vina rangi ya kijani kibichi na muundo wake ni kama kidonge cha Ampicilin. Ni kwamba vilinisaidia kwani nilipungua ila sasa ukaibuka ugonjwa huu.
Naomba mwenye kufahamu tiba anisaidie kwa maana naadhirika mjini hapa.
Tatizo zuri hilo jamani Madame B , to be honest nakuonea wivu sana, mi huwa sometimes (not always) nakua nimechoka sana kiasi kwamba simgusi mke wangu kabisaaaaa ila kuna siku mmmhhhhh wee acha tu. Uzuri wa tatizo lako ndio huo kuwa familia nyingi sana sana wana ndoa wanakosa hamu ya hio kitu, sasa kama wewe unaipata kwa wingi, ni jambo la heri hilo.
Nikuambie kitu? Ukilipata tena hilo tatizo ni-PM nikusaidie Oral Sex tu japo upunguze machungu. Serious but usiwaambie watu
Yaani hilo tatizo ni la kila siku.
Ngoja nikuPM.
Mkuu Bob Lee Swagger, ni kweli kuwa chanzo cha tatizo ni hivo vidonge tu.
Kwa maana nilipoanza hyo dozi, matiti yalianza kuvuta (kwa wanawake wanaonyonyesha wamenielewa) na kuuma.
Nilidhani ni hali ya kawaida.
Ila niliona ni mbaya zaidi baada ya kujisikia hamu ya kukutana kimwili kila asubuhi ninapomeza hii dawa.
Tatizo lilipozidi ilibidi nisitishe dozi ila ndio nilikuwa nimechelewa kwani tatizo lilikuwa kubwa na mpaka leo imepita miaka mitatu na tatizo bado ninalo.
Habarini za Asubuhi Madaktari na Washauri wa Jukwaa Hili.
Naomba mnisaidie kwani ninasumbuliwa sana na Ashki za kujaamiana.
Tatizo hili lilinianza takribani miaka kama 3 iliyopita baada ya kutumia vidonge vya kupunguza unene.
Dawa hizo nilizinunua toka kwa rafiki yangu mmoja ambae aliniambia alitumiwa na kaka yake aliyekuwa Thailand.
Vina rangi ya kijani kibichi na muundo wake ni kama kidonge cha Ampicilin. Ni kwamba vilinisaidia kwani nilipungua ila sasa ukaibuka ugonjwa huu.
Naomba mwenye kufahamu tiba anisaidie kwa maana naadhirika mjini hapa.
Habarini za Asubuhi Madaktari na Washauri wa Jukwaa Hili.
Naomba mnisaidie kwani ninasumbuliwa sana na Ashki za kujaamiana.
Tatizo hili lilinianza takribani miaka kama 3 iliyopita baada ya kutumia vidonge vya kupunguza unene.
Dawa hizo nilizinunua toka kwa rafiki yangu mmoja ambae aliniambia alitumiwa na kaka yake aliyekuwa Thailand.
Vina rangi ya kijani kibichi na muundo wake ni kama kidonge cha Ampicilin. Ni kwamba vilinisaidia kwani nilipungua ila sasa ukaibuka ugonjwa huu.
Naomba mwenye kufahamu tiba anisaidie kwa maana naadhirika mjini hapa.
Ok ok tutapanga muda kwenye PM kwajili ya Oral Sex tu ili kukusaidia. Kila siku half an hour itatosha sana, hakikisha una muda na simu inachaji ya kutosha. Thx
Habarini za Asubuhi Madaktari na Washauri wa Jukwaa Hili.
Naomba mnisaidie kwani ninasumbuliwa sana na Ashki za kujaamiana.
Tatizo hili lilinianza takribani miaka kama 3 iliyopita baada ya kutumia vidonge vya kupunguza unene.
Dawa hizo nilizinunua toka kwa rafiki yangu mmoja ambae aliniambia alitumiwa na kaka yake aliyekuwa Thailand.
Vina rangi ya kijani kibichi na muundo wake ni kama kidonge cha Ampicilin. Ni kwamba vilinisaidia kwani nilipungua ila sasa ukaibuka ugonjwa huu.
Naomba mwenye kufahamu tiba anisaidie kwa maana naadhirika mjini hapa.