Kutamani Pombe muda wa kazi

Kutamani Pombe muda wa kazi

Bemendazole

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2020
Posts
2,649
Reaction score
6,680
Wakuu,
Baada ya kugombana na bosi wangu na kumtukana, kazi ikaisha.
Ghafla nikajikuta niko mtaani bila mchongo.
Ili kubuy time ikawa ni kushinda baa na kupiga visungura tangu saa mbili asubuhi hadi jioni.
Sasa bana nimepata kazi.
Najizuia nisinywe mda wa kazi maana nimeshakuwa addicted napata wakati mgumu.
Hivyo naomba kuuliza wanywaji. Mnawezaje kujizuia kunywa mda wa kazi?
 
Wakuu,
Baada ya kugombana na bosi wangu na kumtukana, kazi ikaisha.
Ghafla nikajikuta niko mtaani bila mchongo.
Ili kubuy time ikawa ni kushinda baa na kupiga visungura tangu saa mbili asubuhi hadi jioni.
Sasa bana nimepata kazi.
Najizuia nisinywe mda wa kazi maana nimeshakuwa addicted napata wakati mgumu.
Hivyo naomba kuuliza wanywaji. Mnawezaje kujizuia kunywa mda wa kazi?
Ukisikia kiu kunywa maji,na potezea mawazo ya farujohn weka kwenye kitu kilichokuumiza utasahau mchupa,utakuja kunishukuru!
 
hapo fanya mpango ugombane na. Boss,,, mpige na mabanziii ya kutosha….atakufukuza kazi,,,, then utaendelea kugida kasichana, na visungura taratibu,,, Tena saizi anza asubuhi hadi asubuhi hakuna kulala….
Nawasilisha.
 
hapo fanya mpango ugombane na. Boss,,, mpige na mabanziii ya kutosha….atakufukuza kazi,,,, then utaendelea kugida kasichana, na visungura taratibu,,, Tena saizi anza asubuhi hadi asubuhi hakuna kulala….
Nawasilisha.
Wewe acha hizo!
 
Pombe tamu asikwambie Mtu Cha kufanya we piga tungi la kutosha halafu tafuta ndizi mbivu kula hakuna atakaye kushtukia kazini, kula mma. ONYO: Kunywa Kistaharabu shauri zako.
 
Wakuu,
Baada ya kugombana na bosi wangu na kumtukana, kazi ikaisha.
Ghafla nikajikuta niko mtaani bila mchongo.
Ili kubuy time ikawa ni kushinda baa na kupiga visungura tangu saa mbili asubuhi hadi jioni.
Sasa bana nimepata kazi.
Najizuia nisinywe mda wa kazi maana nimeshakuwa addicted napata wakati mgumu.
Hivyo naomba kuuliza wanywaji. Mnawezaje kujizuia kunywa mda wa kazi?
Pombe imeshaanza kukutawala.

Dawa watu kama nyinyi tunawanywesha pombe mkilewa tunaenda kuwalaza makaburini mkiamka akili inawakaa sawa.
 
Kwanza tambua hizo pombe ni hatari kwa afya yako unaharibu figo na ini mwisho wa siku utakufa kabla ya muda wako...
Ungekua unakunywa pombe za maana usingepata hizo arosto za kishamba... Nikiona mtu anakunywa pombe za aina hizo huwa siwez kumheshimu
 
Pombe imeshaanza kukutawala.

Dawa watu kama nyinyi tunawanywesha pombe mkilewa tunaenda kuwalaza makaburini mkiamka akili inawakaa sawa.
Au wanaongea na mtu wa mochwari,akiamka
Kwanza tambua hizo pombe ni hatari kwa afya yako unaharibu figo na ini mwisho wa siku utakufa kabla ya muda wako...
Ungekua unakunywa pombe za maana usingepata hizo arosto za kishamba... Nikiona mtu anakunywa pombe za aina hizo huwa siwez kumheshimu
Hanywi kangara,gongo,myakaya ni farujohn!
 
Wakuu,
Baada ya kugombana na bosi wangu na kumtukana, kazi ikaisha.
Ghafla nikajikuta niko mtaani bila mchongo.
Ili kubuy time ikawa ni kushinda baa na kupiga visungura tangu saa mbili asubuhi hadi jioni.
Sasa bana nimepata kazi.
Najizuia nisinywe mda wa kazi maana nimeshakuwa addicted napata wakati mgumu.
Hivyo naomba kuuliza wanywaji. Mnawezaje kujizuia kunywa mda wa kazi?
Tunaweza kwa kuwaza kutokuwa na hela tukifukuzwa kwenye kazi hiyo..!!
 
Back
Top Bottom