Kutamani Pombe muda wa kazi

Kutamani Pombe muda wa kazi

Wakuu,
Baada ya kugombana na bosi wangu na kumtukana, kazi ikaisha.
Ghafla nikajikuta niko mtaani bila mchongo.
Ili kubuy time ikawa ni kushinda baa na kupiga visungura tangu saa mbili asubuhi hadi jioni.
Sasa bana nimepata kazi.
Najizuia nisinywe mda wa kazi maana nimeshakuwa addicted napata wakati mgumu.
Hivyo naomba kuuliza wanywaji. Mnawezaje kujizuia kunywa mda wa kazi?
Kuacha chochote ni moyoni chukulia mfano yaan uandikiwe na daktari kua ukinywa unakufa Mbona utaacha swala lako lipo kwenye PSYCHOLOGY Zaidi

Chukua ukwaju ule wa bakresa mix na kisungura kimoja kila baada ya kazi jion after time utakaa SAWA.
 
Wakuu,
Baada ya kugombana na bosi wangu na kumtukana, kazi ikaisha.
Ghafla nikajikuta niko mtaani bila mchongo.
Ili kubuy time ikawa ni kushinda baa na kupiga visungura tangu saa mbili asubuhi hadi jioni.
Sasa bana nimepata kazi.
Najizuia nisinywe mda wa kazi maana nimeshakuwa addicted napata wakati mgumu.
Hivyo naomba kuuliza wanywaji. Mnawezaje kujizuia kunywa mda wa kazi?
Mkuu

Bado una nafasi ya kuacha ,

Jitahidi kupunguza taratibu kwani hatua uliyonayo ni vizuti kujipongeza.

Ili uache unapaswa kuamua mwenyewe kwa kusema na nafsi yako,Hasa kwa kutazama ni jinsi gani inakunufaisha au kukwamisha yale ambayo ni ya muhimu kwako.

Jisamehe,
Jisamehe juu ya yote yaliyokukuta maishani mwako ,Usijilaumu wala kujiadhibu kwa yale ambayo yamepita.

Tambua
Tambua nini kinachochea utamani kunywa,Je !Ni hofu ya ungeishi vipi ?
Ni kujuta kwa maamuzi ya kumpiga mtu na ukakosa kazi ?
Ni muda uliopoteza kujisomesha hadi ukafika hapo nakadharika.

Ukijua nini kinachochea kulewa ,Kifanyie kazi hicho kitu.

Mbadala

Jitafutie mbadala wa kinywaji kingine taratibu,Mfano maji ,juice ,soda nakadhalika.

Mwisho,Kama ulivoanza taratibu kunywa ,Ndivo ambavyo hata kuacha hutoacha ghafla au haraka utakavo.

Jikubali na jipongeze kwa kila hatua utakayofanya kila siku.

Unaeza anza kwa kuacha kunywa siku moja...Ukifanikiwa jiwekee ahadi ya kuacha kunywa ndani ya siku mbili,tatu ,wiki nk.
Naamini kupitia zoezi hili,Hatimae litakufikisha kule unakotamani.
 
Kwanza tambua hizo pombe ni hatari kwa afya yako unaharibu figo na ini mwisho wa siku utakufa kabla ya muda wako...
Ungekua unakunywa pombe za maana usingepata hizo arosto za kishamba... Nikiona mtu anakunywa pombe za aina hizo huwa siwez kumheshimu
Sawa, lakini kama wote ndo tumekufa saa hii; wewe figo zako bado nzimaaaaa yaani brand new, na mimi zangu hazifai, ZINAKUZAIDIA NINI?
 
Wakuu,
Baada ya kugombana na bosi wangu na kumtukana, kazi ikaisha.
Ghafla nikajikuta niko mtaani bila mchongo.
Ili kubuy time ikawa ni kushinda baa na kupiga visungura tangu saa mbili asubuhi hadi jioni.
Sasa bana nimepata kazi.
Najizuia nisinywe mda wa kazi maana nimeshakuwa addicted napata wakati mgumu.
Hivyo naomba kuuliza wanywaji. Mnawezaje kujizuia kunywa mda wa kazi?
Pamoja na changamoto za hapa na pale,ndugu yetu jitahidi kuhakikisha huachi pombe kwa sababu yoyote!
 
Kuna jamaa hyo ya makaburini ilidunda akaendeleza ulabu hadi walivompasulia yai ndo akaacha.
Kuna mmoja wa pombe za kienyeji, walimuweke vitoto vya panya ambavyo bado havina manyoya. Alipokuwa anakaribia kuimaliza, akaviona vile vitoto vimekufa humo. Alitapika kila kitu, na tangu siku hiyo, akisikia tu harufu ya pombe, anatapika ile mbaya. Akaacha
 
Kuna mmoja wa pombe za kienyeji, walimuweke vitoto vya panya ambavyo bado havina manyoya. Alipokuwa anakaribia kuimaliza, akaviona vile vitoto vimekufa humo. Alitapika kila kitu, na tangu siku hiyo, akisikia tu harufu ya pombe, anatapika ile mbaya. Akaacha
Binafsi hata aingie inzi wa kizungu,hawa bonge bonge kwenye pombe yangu namnyonya hadi atapike pombe yote kisha naendelea na kapiolo.
 
Binafsi hata aingie inzi wa kizungu,hawa bonge bonge kwenye pombe yangu namnyonya hadi atapike pombe yote kisha naendelea na kapiolo.

1727436121423.png

Wale wa kijani?
 
Weka akili yako iwe bize na kazi tu na ukisikia kiu kunywa maji potezea mawazo muda wa kazi unaisha unaenda kupiga nyagi kama kawa alafu acha kunywa visungura mkuu
 
Back
Top Bottom