Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

Wa kunijengea ajitokeze jaman nipo tayari nimzalie mtoto hata mmoja kwa wale wasiotaka kuoa...plzz
 
Mkuu naomba unisaidie makisio ya material kwa ajili ya jamvi. Eneo la sakafu ni takribani 150SQM.
Ni nyumba ya vyumba vitatu, je kupiga plasta naweza hitaji saruji kiasi gani na mchanga kiasi gani? Thank you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…