Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

Wakimaliza kujenga mapambo yako kwangu

SIsi ni wauzaji wa HomeDecors kwa bei nafuu zaidi kuliko wote karibu ujione.
KWA MAHITAJI YA
♦️PAZIA
♦️ MAUA NA MAPAMBO YA NDANI
♦️FURNITURE
♦️KITCHENWARE
TUNATUMA MIKOA YOTE🇹🇿
WHTAP|📞 0699306065
KARIBUNI SANA. FREE DELIVERY DAR


INSTAGRAM @dollrubii_decors
 
Umahiri gani huu, kila nyumba nikiiona lazima nione dirisha la bafu na choo. Kwani lazima kila nyumba iwe na dirisha la bafu na choo? Hamna namna ya kuweka central ventilation system?
 
FUNDI nimependa sana reaction yako kwa wateja wako, hii inaonesha jinsi gani uko smart..

Nimependa sana kufanya kazi na wewe japo ndio naanza maisha.
Swali Langu.

Kama Eneo ni zuri tu halina mabonde, hasa kigamboni Dar es salaam.

Nyumba Ya chumba kimoja self na sebure pamoja na kajiko kadogo humo humo ndani..

Kuandaa ramani ni bei gani???
Lakini pia unaweza kuapproximate Niandae pesa kiasi gani kama kiwanja kama kipo tayari!!

Naomba msaada wako
 
Sorry mkuu naomba niwe fundi wako wa umeme kwenye hizo kaz zako nina leseni ya EWURA nmekamilika
 
Nitakujibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…