Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

Tunaomba jibu la hili bwana fundi
 
Kazi ziendelee
Picha zako za finished product ni picha bandia, za kuchora na computer, kwa nini ????

Na hata hizo halisia za katikali ya ujenzi zimekaa mshazali, kwa nini ? Ushawahi ona yale ma buku ya model houses ( ma catalogue yale) ndani kuna picha nyumba imepigwa mshazali ?? Vipi bana fundi wewe? Na mapicha yako yanaumiza macho, yako karibu sana, piga kwa mbali kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…