Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

Ni Fundi ujenzi mahiri wa majengo ya kuishi, majengo ya biashara na majengo ya ibada. Kazi inafanywa kwa ubora wa viwango vya juu. Gharama zangu ni ndogo kulingana na uchumi wa mtanzania.

Pia, nafanya marekebisho ya Nyumba zenye muonekano wa kizamani kuwa na muonekano wa kileo/kisasa. Kazi zinakamilika kwa wakati kwa mujibu wa makubaliano.

PIA, NATENGENEZA MFUMO MAJI TAKA AMBAO HAUJAZI MASHIMO YA VYOO KAMWE.

Napatikana Dar es salaam. Pia, unaweza kunipata Instagram kama 'FUNDI MAHIRI WA UJENZI'

Mawasiliano.

0655173113
Whatsap 0655173113
Barua pepe:
pmoses951@gmail.com
Naomba msaada, nahitaji kuezeka nyumba, changamoto niliyokumbana nayo kwenye ujenzi wa awali nilipata bati feki zikawai sana kupauka rangi yake. Wapi naweza pata bati nzuri na kwa bei nzuri ambayo hazitapauka kwa haraka.
 
Naomba msaada, nahitaji kuezeka nyumba, changamoto niliyokumbana nayo kwenye ujenzi wa awali nilipata bati feki zikawai sana kupauka rangi yake. Wapi naweza pata bati nzuri na kwa bei nzuri ambayo hazitapauka kwa haraka.
Tumia bati za Arafu. Kama uko dsm nenda kaweke order kiwandani. Itachukua Kati ya Siku tatu mpaka Tani kuzipata
 
Back
Top Bottom