Kutana na fundi rangi, kuna mengi ya kujifunza

Kutana na fundi rangi, kuna mengi ya kujifunza

Yapambe makazi yako na Mimina rough Plaster. 0766111212
IMG-20170514-WA0002.jpg
20191109_121756.jpg
20220713_165524.jpg


Sent from my SM-N985F using JamiiForums mobile app
 
Ukitumiwa message whatsapp unasoma then hujibu. Sasa umeweka namba ya nini?
Hzi swaga sizielwag sana, sanasana kwa wafanyabiashara anaweka namba halafu mwisho wa siku inakuwa kama unamlazimisha, labda kama unataka tu kutamba na sio biashara hapo tutaelewa
 
Hzi swaga sizielwag sana, sanasana kwa wafanyabiashara anaweka namba halafu mwisho wa siku inakuwa kama unamlazimisha, labda kama unataka tu kutamba na sio biashara hapo tutaelewa
Habari ndg yangu, nimekuwa mtiifu sana na ndivyo nilivyo, niliomba msamaha kwakutokujibu msg kwa wakati, lakini pia ukipitia huu uzi utaona ndg zangu kama si 97% basi waote nimewajibu kwa wakati tofauti.

Sent from my SM-N985F using JamiiForums mobile app
 
Ndg zangu wadau tunasafisha paa la jengo lako, hatutumii chemicals za aina yoyote bali ni mji halisi,lakini pia tunasafisha mawe Tanga stone na Paving blocks.

0766111212 tuite sasa.
IMG-20221106-WA0001.jpg
IMG-20221106-WA0000.jpg
IMG-20221106-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom