Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
Mimi wa kiume mkuuWewe mmeo nani..?
Nataka nikuchukue bibie
Kwahyo wewe ni Mvulana?Mimi wa kiume mkuu
Haas haaaaaaKwa niaba yangu mimi mwenyewe ninawapongeza kwa hatua yao nzuri ya kuanzisha mausiano ya kimapenzi yenye lengo la kufanya ngono.
Penzi la hapa jamvini lina kuvuliana tena chupi?Jamaa hawa penzi lao ni la mkono wa mungu maana limeanza ki mwendo kasi sana swali kwao je wameshakulana au khatwe amebaki na ule msimamo wake wa until marry me ndyo avue chupi?
Mimi mwanamume aiseeKwahyo wewe ni Mvulana?
Kama bold na nifah mkuuPenzi la hapa jamvini lina kuvuliana tena chupi?
Ngono wataifanyia hapa jamvini?Kwa niaba yangu mimi mwenyewe ninawapongeza kwa hatua yao nzuri ya kuanzisha mausiano ya kimapenzi yenye lengo la kufanya ngono.
Hahahaha... Kwanini?Dah iyo avatar ya jose inanidisturb kinoma aiseeee[emoji24][emoji24][emoji24]
Kwa nguvu moja napinga mahusiano haya batili maana mwisho Wa Siku comred jose atakuwa betrayedNaam!
Ni rasmi kabisa kuwa, Joseverest na Khantwe wapo ktk penzi moto moto hapa jamvini.
Couple hii ni changa kabisa iliyochipukia hivi karibuni ktk uzi huu Kama hawa wangetengeneza couple hapa JF, zingenoga sana.
Waulize chochote hapa kuhusu penzi lao hili changa,, matarajio,, mipango yao ktk penzi lao hapa jamvini.