Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Inategemea na mkataba walioingiaWaandaaji wa filamu si wangali wapo, adeal nao mahakamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea na mkataba walioingiaWaandaaji wa filamu si wangali wapo, adeal nao mahakamani
Kama hata main character ambaye alikuwa ni mtu mzima hakulipwa ndiyo walipwe wazazi wa watoto, wale walichukuliwa poa kwa kuwa ni bushmen.Miaka 6 atakua alinunuliwa pipi tu, on a serious note nadhani lazima kulikua na ruhusa kutoka kwa wazazi au walezi ili yeye ashiriki
Hao ndo anatakiwa kuwauliza, kama walilipwa lazima walizipiga tu izo hela maana wazazi wa kiafrica mtoto wa miaka 6 utapewa Nini unadhani, kama walikubali aagize bure huyo ni ujinga wao
Kwa sa ivi hawezi kupata chochote maana hata Hio production company ya weintrub Kuna kipindi walitangaza imefilisika
Hata mimi back in the day utotoni nilidhani ni mtoto wa kiume.Maisha yanaenda Kwa Kasi pengine zaidi ya speed ya mwanga. Mwigizaji akiwa mdogo alikuwa wa kiume amekuwa mkubwa sasa ni wa kike
Ni mtazamo..
kumbe alkua wa kike nilidhani wa kiume
Mtoto wa miaka 6 hawezi kulipwa , hapo waulizwe wazazi wake. Je waliruhusu vp mtoto acheze film 📼 bila kulipwa chochote?Waandaaji wa filamu si wangali wapo, adeal nao mahakamani
Mtoto wa miaka 6 hawezi kulipwa , hapo waulizwe wazazi wake. Je waliruhusu vp mtoto acheze film 📼 bila kulipwa chochote?
Wale weusi wasio bushmen probably walilipwa.Hii muvi inaelekea hakuna mtu mweusi alilipwa [emoji38]
Utakuwa na nyege si bure😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Maisha yanaenda Kwa Kasi pengine zaidi ya speed ya mwanga. Mwigizaji akiwa mdogo alikuwa wa kiume amekuwa mkubwa sasa ni wa kike
Ni mtazamo..
Hapana mkuu, kama walikuwa watoto basi walipwe sasahivi kwani mzigo umeacha kuingia? mbona Macaulay Culkin (Kelvin-home alone) anakunja mzigo hadi leo?Mtoto wa miaka 6 hawezi kulipwa , hapo waulizwe wazazi wake. Je waliruhusu vp mtoto acheze film 📼 bila kulipwa chochote?
Kuna mrahaba.. Malipo ya asilimia kutokana na ushirikiMtoto wa miaka 6 hawezi kulipwa , hapo waulizwe wazazi wake. Je waliruhusu vp mtoto acheze film [emoji330] bila kulipwa chochote?
Bora umenikutanisha naye maana nilitaka nimuulize dada yake yuko wapi? Halafu kwa nini alikanyaga triger akiwa kwenye tank la majiLeonora Jacobs enzi za utoto wake aliigiza filamu ya The gods must be crazy II.
Staa huyo wa Namibia, amewashangaza wengi kwa kudai kuwa hajawahi kulipwa pesa wakati anaigiza filamu hiyo.
Wakati akiigiza filamu hiyo ya mwaka 1989, alikuwa na miaka 6 tu. Kwasasa ana miaka 40 akiwa anafanya kazi ya kuuza duka.
Filamu hiyo iliingiza takribani Dola Milioni 6.3 lakini Leonora hakupata hata senti tano.