DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Dadeeeeeeeeeeeeki saafi sana
Mkuu unajua ni kweli wabunge wengi hawana uwezo mzuri wa kujenga hoja za kuisadia nchi Ila hii usababishwa na kutokuwa huru katika kutoa mawazo yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dadeeeeeeeeeeeeki saafi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maajabu yaliyojeee.
Sasa si wakae kimya?Mkuu unajua ni kweli wabunge wengi hawana uwezo mzuri wa kujenga hoja za kuisadia nchi Ila hii usababishwa na kutokuwa huru katika kutoa mawazo yao.
Hivi wewe na huyo Tambwe mna undugu? Halafu unajiita SYLLOGIST! Kweli ndege wafananao huruka pamoja. Ukilaza ni sifa kuu CCM!
Kwa uchawa wake kajikuta anachanganya sukari na mchangaHahahaha 🤣 alikua anajiandaa jinsi atakavyomsifia Madam president exclusively. Yaani aje na Jambo jipya Kabisa ambalo haijawahi kuwa addressed
Mtoto wa mjini mrangi , ni "vitu maalum" ndugu, maana wapo mule kuwapa "vitu maalumu" wabunge "me".Hamna kitu huyo
VITI MAALUM VIFUTWEEEE TU
ova
Ndiyo mjitokeze wewe Evelyn Salt na wenzako wa hapa JF mwajani 2025 mgombee, naamini sisi kama wana JF tutapata wawakilishi bora sana wa kwetu na wananchi.Na ndio watu wanatakiwa kututungia sheria....🥹
VIFUTWEEEE VIONDOLEWEEEEESijui mjinga gani alileta viti maalum alaaniwe milele
😂😂😂 Mbunge wangu ajiandae kutokaNdiyo mjitokeze wewe Evelyn Salt na wenzako wa hapa JF mwajani 2025 mgombee, naamini sisi kama wana JF tutapata wawakilishi bora sana wa kwetu na wananchi.
Tutawasaidia hakika kwa hali na mali.
Amen😂😂😂 Mbunge wangu ajiandae kutoka
Viburudisho vya wakubwaHawa Wabunge wenu huwa hawana uwezo, tukisema tunaambiwa tuna kashfu. Sasa angalia huyu Mama, sijui Mbunge wa Wapi huko, hajui CT SCAN anasema T scan, akili yake yote ameilekeza kumsifia Samia..... yaani ameweka kando akili yake ame-concetrate kwenye uchawa! Huyu ni Mzazi wa MTU na Mbunge wa Watu, natamani kufahamu Jimbo lake.
View attachment 2983039
Huo muda autoe wapi?Na hotuba yake aliiandaa kabisa, hakulala usingizi ili kuelezea jinsi T scan itakavyosaidia wananchi.
Siasa ya Bongo mwenye uelewa mpana wa mambo, system inakukataa, inataka vilaza km huyo mama.Ikiwa nyie wenye kuyajua hayo hamtaki siasa je ni sahihi kulalamika?
Hivi na sisi wakisema wenye "system" wapite mbele na sisi utapita kweli?Siasa ya Bongo mwenye uelewa mpana wa mambo, system inakukataa, inataka vilaza km huyo mama.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Vijana tunapenda kamserereko 😅😅😅Hahahahahaha ushaangalia fursa tayari eegh
Nakuja kuchukua jimbo la urambo au uyui 😆😆😆Unakuja kuchukua jimbo ?