Kutana na Members wa ajabu kabisa JamiiForums

Kutana na Members wa ajabu kabisa JamiiForums

Wala usijali

Wengi wanajua ni kwa sababu gani

Maana Cocochanel ni jembe linalowalima haswa humu

Acha nipate kiki zangu shaaaaa

Wanajijua nitakutana nao hukooooo kwenye threads, ila sikujuaga kumbe nina wafuasi wengi my fans ila basi tu wanatumia njia hiyo... kutaka niwe kama wao na sibadiliki ng'oooo

Hapa kazi tu

Eeeeeh
Unawafuasi akina nan
 
Kuna wengine ni watoto wa kiume sio wanaume unapingana na mitazamo yake anakununia....kabisa anakuweka ignore list

Nashukuru Mungu mimi ni muhenga hawa wanaume wa miaka hii kama mabinti

Mkuu mambo haya bhana hata wahenga nao ufanya, wahenga wanasifa humu ya kua selective na kuwaponda hawa majunior sana sanaa.
 
Leo umeandiko point ya maana toka umezaliwa

Mkuu nimekuvumilia ila sasa nimeshindwa, wadau huyu bhana ni miongoni mwa wale tunao wajadili, huyu jamaa utafikiri nimemchukulia mke, nlipo nae yupo, ata comments za salam tu nae anaziingilia, mdogo angu umetumwa au? Unataka kuniroga au?

Hapa basi nimekujibu umejiskia raha na roho yake eee? Maana kwengine nakupuuzaga tu ila humo, asee wew ni mzima?unajiskiaje sasa unavyonitukanaga alaf ata sifuatilii? Chunga utakua mchawi bado mtoto mdogo.
 
Post zote ninazokutana nazo kuhusu jose zinaonyesha kumkubali kwa kile anachokifanya. Ila kuna baadhi ya members huwa wanatafsiri tofauti.

Hahahaah Joseverest kwa kweli anatufurahisha sanaa, jamaa kaamua kutoka na ka staili ka kipekee sanaa, sasa ni very famous humu jf.
 
Sahiihi kabisa hasa hawa wanao jiita member maarufu ni mahaters knomaa
Halafu wako very selective yaani

Hahahah mkuu kitu kimoja hawa masenior ambacho walishindwa kujua ni kua JF isingeweza kubakia vile vile miaka yote ni lazima ingekua na watu wapya wakaja, sasa wao wanataka kuweka upekee ule ule wa wakati ule, mambo hayako hivyo duniani kote, mie binafsi naenda sawa tu na wa rika zote, japo JF kwa mara ya kwanza nlijiunga 2009 na hii ni ID yangu ya pili tu, kwaio popote pale mabadiliko ni innevitable, wazoee tu muda utasawazisha yote.
 
Ha ha ha haaaaa

Yaani nilmefungua mbio nijiandike, nikakuta umenisaidia.

Safi sana

Ndio hivyo ila nakula nao sahani moja, nikiamua kuwadisi bila kuwajibu... ndio weeee wanazidi kunisubilia kwingine

Eeeeeeeh

Hahahaah Mkuu una moto huo dooh.
 
Mkuu nimekuvumilia ila sasa nimeshindwa, wadau huyu bhana ni miongoni mwa wale tunao wajadili, huyu jamaa utafikiri nimemchukulia mke, nlipo nae yupo, ata comments za salam tu nae anaziingilia, mdogo angu umetumwa au? Unataka kuniroga au?

Hapa basi nimekujibu umejiskia raha na roho yake eee? Maana kwengine nakupuuzaga tu ila humo, asee wew ni mzima?unajiskiaje sasa unavyonitukanaga alaf ata sifuatilii? Chunga utakua mchawi bado mtoto mdogo.
Na wewe una mipasho sana,yaan unalalama uradhan mtoto wa kambo. Acha hizo yaan toka mwanzo wewe kujilalamisha na mafumbo utadhan umepingukiwa na nini sijui?
Unashindwa kutofautisha vitu serious na utani,hata misiban watu hutaniana sembuse humu?. Kwa mfano Jose watu weng sio kuwa wanamchukia ila wanamtania na kuburudika kwa staili yake ambayo wengi hushangaa anaweza vip kuwa wa kwanza au wapili.
 
Na wewe una mipasho sana,yaan unalalama uradhan mtoto wa kambo. Acha hizo yaan toka mwanzo wewe kujilalamisha na mafumbo utadhan umepingukiwa na nini sijui?
Unashindwa kutofautisha vitu serious na utani,hata misiban watu hutaniana sembuse humu?. Kwa mfano Jose watu weng sio kuwa wanamchukia ila wanamtania na kuburudika kwa staili yake ambayo wengi hushangaa anaweza vip kuwa wa kwanza au wapili.

Mkuu labda kuna mahali hukunielewa, ata mie siko serius kiasi iki unachokiwaza, pili swala la jose liko wazi tumekwisha lijadili peji ya kwanza ya huu uzi, tatu uyo jamaa nliemwambia hayo ni kazidi too much na sikua na option nyingine ya kumzuia zaidi ya hio nliyomwambia maana jamaa kaanza kuvuka mipaka ao aliitaji apewe displine kidogo.
 
Na wengine ni watu wazima wachamba wima lakini mambo yao yakijinga jinga
 
Mkuu mie sio huyo, nafikiri ni majina tu yamefanana.
Sasa wewe mbona ni mpinga Kristo ?
Kwanini unampinga Kristo bila sababu yoyote na unadhibitisha kwa hiyo chata ya avatar yako ?
666 chata.
Kama wewe ni mpingaji basi usiwashangae wapingaji wenzako.
Bora hao wanapinga mada lakini wewe
Unampinga atakaye kufufua siku ya mwisho.
Unampinga anayekua
andalia makao ya Mbinguni.
Unampinga aliyepewa mamlaka ya duniani na mbinguni ?
Kati ya wapingaji wote wewe una hasara kibwa zaidi.
Badilika nafasi bado unayo, la sivyo kwa huo upingaji wako Lusifer anakusubiri kwa hamu.
 
Inasikitisha sana...
Watu wa namna hiyo, mara zote hawajiamini... Watu wa namna hiyo hata uki-coment nukta(.) bado atakuja na negative comments...


Ni kuwazoea na kuwapuuzia... Wanapenda ligi zisio na sababu..



Cc: mahondaw
 
Tena mie kuna kajamaa hua kananishangaza sanaa kila nilipo kapo, kananitukanaga mengi matusi, hua sikajibu chochote tangu nijue kua join yake inasoma 22 may of this year hahahahahaha naishia kucheka tu
[emoji23] [emoji23] ulipo tupo!
 
Kuna wale wanahisi Jf ni yao kisa wameanza zamani utaskia "unatujazia server zetu..."
Sijui ni wake wa mmiliki[emoji3][emoji3]
Kwanza ukute hata server hajui ni nini au ukimpinga kitu cha kweli anahangaika kupoteza muda wake kuangalia umejiunga lini...utadhani memba kua jf kitambo ndo unakua na akili kibao[emoji3][emoji3]
wengine wanaandika upupu lazima tuwaambie
 
Back
Top Bottom