Kutana na mla bata wa kishua Brenda K, Mtanzania, India na Mkanada

MIGUGO

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2011
Posts
2,137
Reaction score
3,931
Huyu ni mla bata wa kishua ambaye anatembea nchi nyingi sana, hana stress na maisha, yeye ni bata za kishua siyo vumbivumbi na ni mtu wa ku-cruise kwenye yatch na hoteli kubwa. She's a globetrotter kama anavyojiita.

Lakini makazi yake yasemekana ni Nigeria. Account yake ya Instagram ina followers mastaa maarufu Afrika na duniani.

Mwonekano wake she is thick and she has sexy innocent eyes with watery *ss. Unaweza kutembelea account yake "iambrendak". Ila msije mkavamia page zake kuanza kuongea hovyo unakula tofari "block".

 
Brenda K I'm your secret stalker!!
 
Wivu
Instagram imetengeneza watu wa hovyo ambao leo maarufu sababu tu ya mionekano yao,ukimfuatilia sana unakuta ni malaya plus mdangaji hana ushua wowote zaidi ya kuuza K.
 
Sasa akila bata sisi inatusaidia nini?!?INA faida gani kwa vijana wenzake,kwa uchumi wa nchi,kwa ajira ya vijana wenzake!!
Yeye mchango wake kwenye hii dunia ni kula bata tu!hakuna kingine,what a shame! Na anavyoonekana hizo pesa anazokula,ama ni za wazazi wake,au wanamume "wamemenina"
Watu wanaokula bata wapo kibao,nini cha upekee kwa huyu binti?
 
Asante kwa kutujuzu mkuu. Kishuzi kizuri kabisa aisee tayari tuhesabau kasheangeza follower mwengine hapa kwangu.

Wenye wivu mtaumia sana tu
 

Hii PIcha ya kwanza ni mind-blowing kabisa
 
Muda K
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…