Nadhani hela anayoingiza ss hv ni ndefu kuliko aliyokuwa analipwa world bankAkapimwe Mkojo Uyo.Sio Bure
Sijakuona jana kwenye interview ya kubwa la maadui Lara 1Muhimu pesa
Duh,ana umri gani???Babangu baada ya kustaafu kazi alizawadiwa vyerehani 6 vya kisasa na mzungu, Lakini Kakangu mmoja hivi baada ya kufeli shule alikataa kwenda kusoma kupekecha chereheni kisa aliona mzee kama anamdharau kumbe Baba alikua na lengo zuri nae.
matokeo yake mpaka hii Leo yupo tu anasubiri nyasi zikue achukue slasher azikate,anasubiri mtembelee nyumbani awasindikize awapige vibomu. Dunia hii inahitaji wanaume wenye akili
Na ameajiriwa katika kiwango gani?Ana determination, ila nimeshindwa kumuelewa amesema amemaliza 2011 na ameajiliwa kuanzia 2008 au hapo benk ya dunia aliajiriwa akiwa na diploma au form 6