Mikhail Tal
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 421
- 778
Hii inaitwa IGA UFE.. [emoji56][emoji56][emoji56]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huo ndo ukweli but kwa akili zetu za kuwaza tu kwamba ili utoke lazima uajiriwe hawataelewaNadhani hela anayoingiza ss hv ni ndefu kuliko aliyokuwa analipwa world bank
Comment like hizi huwa zinafanya nione hii forum kama wadau wanavyo sema imevamiwa na watotoLabda WB(Wasafi Baby) ya Tandale kwa Tumbo.
unaweza show makaburi ya watu walio kufa baada ya kuacha kazi na kujiajiri?Hii inaitwa IGA UFE.. [emoji56][emoji56][emoji56]
huyo hajafanya kwa ajili yenu bali kwa ajili yake yeyeNanyie igeni tuone
Miaka 32Duh,ana umri gani???
Hata kama alikua mfagiaji wangapi wapo huko mpaka hii Leo ? Mwenzio akidanikiwa nje ya mfumo wa kinyonyaji mpongeze badala ya kuhoji hojiNa ameajiriwa katika kiwango gani?
Wasomi wetu haoWatu wameelekeza akili kuajiriwa tu