Kutana na mtanzania aliyeacha kazi Bank ya Dunia ili ashone nguo

Kutana na mtanzania aliyeacha kazi Bank ya Dunia ili ashone nguo

Hii inaitwa IGA UFE.. [emoji56][emoji56][emoji56]
Hahahahahhahahha
Umepatia kabisa..
Ndoto za abunuasi mi kuachia Kaz Kama hyo....
Hajanishawish...
Then Lazma awe wa kishua ....
Mi mwenzangu wa nanjilinji umesotaa thn udrop mchongo....
 
Hahahahahhahahha
Umepatia kabisa..
Ndoto za abunuasi mi kuachia Kaz Kama hyo....
Hajanishawish...
Then Lazma awe wa kishua ....
Mi mwenzangu wa nanjilinji umesotaa thn udrop mchongo....
Ndo manake wengine hapa Dar tumekuja wenyewe kwetu mikoani. Wenyewe wamezaliwa mjini hata akikosa msosi home karibu anaenda kutega msosi hata kodi ikiisha anarudisha kambi nyumbani kwakuwa ni hapa hapa mjini. Sasa mimi kwetu kilometer 700 nikikosa msosi sina wa kumlilia itabidi nipambane na hali yangu. Kwa mazingira hayo kuacha kazi kwangu kufanya business sio afya kabisa
 
Jeffrey Jessey ni kijana wa Kitanzania ambaye baada ya kumaliza masomo yake aliajiriwa na Benki ya Dunia nchini Tanzania lakini aliacha kazi na kuanza kushona nguo akisema alipenda kushona nguo kwa sababu ni kitu alichokipenda.

Tangu aache kazi hiyo, sasa anamiliki kampuni inayoitwa Speshoz na ameajiri watu wengine ambao anafanya nao kazi.

Unaweza kuitazama hii kwenye hii Full interview




Kwa hisani ya Millard Ayo


I like these few individuals with big hearts. Tanzania haitabadilika kama tutaendelea wote kujipanga kula kwenye siasa. Maana foleni wamo hapo akina Msukuma
 
Zuckerberg aliacha CHUO havard for facebook alikataa mapesa kibao look where he is

watu wanajitambua hawaishi Kwa kushinikizwa
Mark hakuacha chuo ili atengeneze Facebook, aliacha chuo baada ya majukumu ya Facebook kumzidi
Elimu karne hii ni muhimu zaidi ya muda wowote huko kipind cha nyuma! JIONGEZENI
 
Back
Top Bottom